Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbn atachizika....
Icho kizygot kitaporomoshwa fasta km damu ya mwezini...Hahahahaaaaa. ...hapana chezea watoto wa mujin.
Akishakuw kapi km wema aka tasa aanze kulialia nakutafta makanisa ya ..........mbashalize.....
Mungu akipenda kesho mchana, nitaanza safari ya kwenda Dar. Naenda kumzika rafiki yangu kipenzi, japo mazishi hayajapangwa kama ni dar au Mbeya, inategemea na maamuzi ya vikao vya wanafamilia. Maana marehemu ni mwenyeji wa Mbeya ila home kwake mshikaji ni dar, amejenga hapo dar Kinyerezi na Sehemu flan mbele ya kiwanda cha wazo, unafuata njia ya kuelekea Madale. R.I.P my dear friend Samson Lusekero Mwandenga (Seki).
Alitoka nae kwani?u
Sasa ile BMW X6 aliyomuazima Diamond wa Zari itakuwaje?
Mods futeni huu uzi,unamdhalilisha marehem pamoja na Lulu, huu upuuzi ndio umesababisha sheria ya mitandao itungwe. ujinga mtupu unaoendelea hapa
Kuna juhudi kubwa mno zinafanywa na wana bongo movie kuzuia kuenea kwa hii issue hasa kwa sbb inahusiana na mwenzao lkn hapa kwa GT naona wame fail, uzi upo speed ya hatari!
ni kweli alikua anamdate lulu?
Khaaaaa! Kimbley hebu njoo uone list huku maana hili tulikua hatulijui.
Yaani wanaume wakipata pesa wanakua mashetani jamani! Na sio ajabu ana mke mzuri tu!
Alipofariki yule rubi wa chichiemu niliwafafanulia kule kwetu ukiona bnt wanaume wanakwisha ujue anakitu ambacho kinaota juu yashimo la kujisaidia kinyama kidogo a.k.a Kimenengu,hiki kinautaratibu wa kukatwa kwa utaratibu wa kimila,kuna dawa ya kienyeji unafanyanyiwa alafu unakatwa unaondoa mikosi yote,sasa wale walio karibu na Lulu wakiona ujumbe huu anitafute kupitia jf gharsma yake ndogo akzarau wanaume watakwisha,
Tunuombee asije kuwa malaika wa kifo ataiona dunia chungu, namhurumia mno kama kweli alikuwa na mahusiano na huyo marehemu RIP
Mods futeni huu uzi,unamdhalilisha marehem pamoja na Lulu, huu upuuzi ndio umesababisha sheria ya mitandao itungwe. ujinga mtupu unaoendelea hapa
Yuko kwenye wakati mgumu kwa sasa...
haahaha hili nalo biti
kwa hiyo lulu ana kinyama?
Bongo movie kala wolper,aunt,kajala halafu uwoya alikua anarun na best yake anaitwa mako.hao bongo movie kuna wakati walikua wanakaa arusha wiki utadhani wako location kumbe wanatembeza mpapa
Huyu mtoto ni kwere, jamaa alikuwa kwenye madini