ngunde11
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 693
- 906
Napenda kutoa ushauri kwa sauti kubwa KUJIFUKIZA NI HATARI tuache mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.......!Lawama zote kwa Dk .John aka Yohana mbatizaji anayebatiza kwa moto toka Chato
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo utakuta family yote imepanguswa na korona...Shoga yangu hizo sehemu watapeana wenyewe...huoni alivodanja yule waziri Selina kombani akapewa mwanaye?
G Sam waambie wawe wanakulipa hata kidogo! Matangazo ya vifo huwa yanalipiwa mkuu. Naona unajitahidi sana kutangaza vifo siku hizi.Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.
===
Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo, Aprili 29 katika Kliniki ya COSAD kutokana na maradhi ya Shinikizo la Damu na Kisukari
Aidha, inadaiwa marehemu alianza kutumia dawa za kienyeji (kujifukuza) na alipoanza kukosa pumzi na kushindwa kuhema mkewe alimpeleka katika Kliniki hiyo. Aliwekewa drip lakini kupumua ikawa shida zaidi hadi akakutwa na mauti
Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema wanasubiria mwongozo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Makao Makuu ya Uhamiaji kujua taratibu za msiba na maziko
Kwa hiyo sasa Saccos ya Chadema imehamia kwenye kutangaza vifo! Waambie wawe wanawalipa hata kidogo. Redioni na TV matangazo ya vifo huwa yanalipiwa. Pesa hizo sitasaidia angalau kidogo kusaidia matumizi ya Saccos.Yale mataahira ya Lumumba bado yanafanya propaganda kwenye hivi vifo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwa weweKwa hiyo sasa Saccos ya Chadema imehamia kwenye kutangaza vifo! Waambie wawe wanawalipa hata kidogo. Redioni na TV matangazo ya vifo huwa yanalipiwa. Pesa hizo sitasaidia angalau kidogo kusaidia matumizi ya Saccos.
mkuu mimi nazungumzia Tanzania sio USA
#CORONAVIRUS
Haka kaugonjwa ni kapi mkuu?Kuna kaugonjwa kapya kapo Bongo tu! Kanaitwa "KUSHINDWA/CHANGAMOTO ZA KUPUMUA" sio KORONA. Labda ni hako kamefanya yake.
Apumzike kwa Amani Kamanda
Unategemea nini kama unasikiliza ushauri wa ki-bashite? Jifukize,kusanyika kusali,tusitishane! R.I.P MATE!Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.
===
Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo, Aprili 29 katika Kliniki ya COSAD kutokana na maradhi ya Shinikizo la Damu na Kisukari
Aidha, inadaiwa marehemu alianza kutumia dawa za kienyeji (kujifukuza) na alipoanza kukosa pumzi na kushindwa kuhema mkewe alimpeleka katika Kliniki hiyo. Aliwekewa drip lakini kupumua ikawa shida zaidi hadi akakutwa na mauti
Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema wanasubiria mwongozo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Makao Makuu ya Uhamiaji kujua taratibu za msiba na maziko