TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera, Pendo Butenghe afariki dunia

TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera, Pendo Butenghe afariki dunia

Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.

Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.

===

Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo, Aprili 29 katika Kliniki ya COSAD kutokana na maradhi ya Shinikizo la Damu na Kisukari

Aidha, inadaiwa marehemu alianza kutumia dawa za kienyeji (kujifukuza) na alipoanza kukosa pumzi na kushindwa kuhema mkewe alimpeleka katika Kliniki hiyo. Aliwekewa drip lakini kupumua ikawa shida zaidi hadi akakutwa na mauti

Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema wanasubiria mwongozo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Makao Makuu ya Uhamiaji kujua taratibu za msiba na maziko

G Sam waambie wawe wanakulipa hata kidogo! Matangazo ya vifo huwa yanalipiwa mkuu. Naona unajitahidi sana kutangaza vifo siku hizi.
 
Yale mataahira ya Lumumba bado yanafanya propaganda kwenye hivi vifo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo sasa Saccos ya Chadema imehamia kwenye kutangaza vifo! Waambie wawe wanawalipa hata kidogo. Redioni na TV matangazo ya vifo huwa yanalipiwa. Pesa hizo sitasaidia angalau kidogo kusaidia matumizi ya Saccos.
 
Decision ya kukataa kuifunga Dar japo kwa wiki 2 mbili ili kucontain gonjwa itatutokea puani. Sasa virus alishasambaa mpaka huko ndanindnai mipakani kama Tunduma, Manyovu, Kaisho n.k. Bunge linapaswa kusimamishwa until further notice.
 
Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.

Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.

Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.

===

Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo, Aprili 29 katika Kliniki ya COSAD kutokana na maradhi ya Shinikizo la Damu na Kisukari

Aidha, inadaiwa marehemu alianza kutumia dawa za kienyeji (kujifukuza) na alipoanza kukosa pumzi na kushindwa kuhema mkewe alimpeleka katika Kliniki hiyo. Aliwekewa drip lakini kupumua ikawa shida zaidi hadi akakutwa na mauti

Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema wanasubiria mwongozo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Makao Makuu ya Uhamiaji kujua taratibu za msiba na maziko

Unategemea nini kama unasikiliza ushauri wa ki-bashite? Jifukize,kusanyika kusali,tusitishane! R.I.P MATE!
 
Back
Top Bottom