Avatar
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 11,128
- 11,921
Sio iringa !!APEPE hivi akina Pendo wa kiume ni wenyeji wa mkoa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio iringa !!APEPE hivi akina Pendo wa kiume ni wenyeji wa mkoa gani?
Milima itazungumzaMkuu kweli au unatania ! Ni wangapi wamedondoka?
It is never too late to begin. Start now
acha tu aisee .hili neno linaogopesha sasa..hadi ifike saa 6 usiku duuuhTanzia zimeanza upya siku ya leo
Kwani kwenye tv hamkuona? Ama na wewe ni wale waliodai huu ni ugonjwa wa wazungu na ni mafua tu? Ama ulikuwa busy na Ali Kiba.
Lawama zote kwa Dk .John aka Yohana mbatizaji anayebatiza kwa moto toka ChatoImeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.
===
Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo, Aprili 29 katika Kliniki ya COSAD kutokana na maradhi ya Shinikizo la Damu na Kisukari
Aidha, inadaiwa marehemu alianza kutumia dawa za kienyeji (kujifukuza) na alipoanza kukosa pumzi na kushindwa kuhema mkewe alimpeleka katika Kliniki hiyo. Aliwekewa drip lakini kupumua ikawa shida zaidi hadi akakutwa na mauti
Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema wanasubiria mwongozo wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa na Makao Makuu ya Uhamiaji kujua taratibu za msiba na maziko
Milima itazungumza