OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Tanzia zimeanza upya siku ya leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo vizuriHuko Bench wana immunity ?
Changamoto za kupumua chazaku20Kuna kaugonjwa kapya kapo Bongo tu! Kanaitwa "KUSHINDWA KUPUMUA" sio KORONA. Labda ni hako kamefanya yake.
Apumzike kwa Amani Kamanda
misiba mingi sana mpaka inatishaTanzia zimeanza upya siku ya leo
Bwashee kumbe unaripoti kutokea pande zote za nchi?........nilidhani Agakhan!Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo ambaye ni mkuu wa uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Kabla ya hapo alikuwa ana matatizo ya sukari ila bado taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.
Siyo shida ya kupumua tena?TANZIA: Mkuu wa Uhamiaji mkoani Kagera Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa - Bukoba, baada ya kuugua kwa muda mfupi. Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini
Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwiliniView attachment 1434180
kufa kufaanaMungu anisamehe!
Ila naona angalau waliokalia bench wanakwenda kupata pa kujishika
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we jamaa bhana!
atakua kigogo2014Bwashee kumbe unaripoti kutokea pande zote za nchi?........nilidhani Agakhan!
Hapana, ni changamoto ya upumuaji! Duu mavi-ongozi ya Tanzania yanamwogopa magu ni hatari!Tatizo la upumuaji tena au??? R.I.P
misiba mingi sana mpaka inatisha
Aiseee[emoji849].Natamani magu angedanja kwa hizi changamoto za upumuaji ili watu washike adabu naye azikwe na watu wasiozidi10, mshenzy kabisa huyu jamaa. Ameshindwa kuchukua hatua sitahiki watu wanadondoka tu! Mungu atunusuru kwa kweli!
Changamoto ya kupumua hii itatumalizaImeripotiwa muda mfupi uliopita kuwa Pendo Butenghe ambaye ni Mkuu wa Uhamiaji mkoa wa Kagera amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akithibitisha kifo hicho, Kaimu Mkuu wa Uhamiaji Kagera, Thomas Fush, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kushuka sukari mwilini.
Taarifa rasmi za kilichomuua hazijatolewa.
mkuu zamani watu hawakufululiza hivi, ila pia ulichosema inawezekana ikawa kweliIlikuwepo lakini hatukuwa na taharuki kama sasa.