Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
nifah ndio ulisema ulimuona noorah kwenye msiba wa mez b hali yake si nzuri? ifike mahali tuwe tunatoa taarifa za kweli wanajf na sio kuandika unafiki tu. jinsi ulivyoandika ilikuwa nikama jamaa hatafika mwezi wa sita atakuwa amekufa..... watu wana majungu jamani sijawahi kufikiri kuwa nifah ni mtu mbaya kiasi hiki.
Mungu akuponye Noorah
Last edited by a moderator:
