Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaweza kufanya nini sisi kama jamii kumsaidia matibabu Noorah?
Hapa kwenye kufanya nini watu wataingia mitini! Msaada wa haraka ni matibabu na cash aliye tayari anitokeze tuonyeshe tofauti
Tunaweza kufanya nini sisi kama jamii kumsaidia matibabu Noorah?[/QUOTE
Hilo neno mkuu maana tukiwa live kule uswahilini ni tofauti na tukiwa humu, uswahili mtu anapewa maneno ya kutiwa moyo na nguvu lakini humu ukisoma comment mbona utakoma
Mimi nipo tayari. Hakuna ugonjwa usio na matibabu . Kama tupo serious tutauomba uongozi wa JF utoe namba ya kutuma michango hiyo then waifikishe kwa niaba yetu.
Noorah Yuko Shinyanga chini ya uangalizi wa baba yake! NDO anamtibia tuombe tu kudra za Mwenyenzi Mungu... Ila baba yake Ana uwezo wa kulipia matibabu ya mwanawe! Na anafanya hvo!!Hapa kwenye kufanya nini watu wataingia mitini! Msaada wa haraka ni matibabu na cash aliye tayari anitokeze tuonyeshe tofauti
Recently not nowView attachment 231685
Noorah Yuko Shinyanga chini ya uangalizi wa baba yake! NDO anamtibia tuombe tu kudra za Mwenyenzi Mungu... Ila baba yake Ana uwezo wa kulipia matibabu ya mwanawe! Na anafanya hvo!!
Najua ni Kwa upendo! Kwa jinsi ulivyoguswa uguswe pia kwa dua na sala, wanahitaji maombi yetu Saaana!
Zaidi zaidi KIZAZI chetu hiki maana!
wabongo wazushi sana. Nura hana ukimwi wala virusi vya ukimwi. Mke wake alifariki kwa matatizo ya kansa ya kizazi, ASAP
miss strong ukweli ambao hautakaa ubadilike ni kwamba KAFARIKI hiyo ndio sahihi mengine yooote yatabaki assumption za binadamuLakini pia nilisikia katika clouds kasema mkewe amefariki kwa ugonjwa wa kifua.Sasa sijui kipi ni sahihi il a gonjwa lolote linaweza toa roho ya mtu.
Kuna point hapa...pengine haijatimia dakika hiyo ....pia kwa picha hii bado naamini ana afya njema
Anaonekana kwa nje sio kama watu wanavyomuelezea hapa.
pole sana Nuurah, msiba mtu ausikie kwa mwenzie tu, maana maneno yatakutoka hata yasostahili, lakini ukikufika mwenyewe unaufyata.
mkeo apate pumziko la amani.
Hiyo ajali mbona alivyohojiwa alikuwa haweki wazi? Alisema tu ilitokea salenda briji tu basi? Mwenye kumbukumbu anaweza akatuwekea link iliyoelezea hiyo ajali? Kama alifanyiwa operation ya kichwa au utumbo mbona saambovu anaripoti alikuwa keroro alikutana na akamwambia chamber squad tunakwisha? Mtu mgonjwa wa hali kama hiyo anaruhusiwa kunywa monde? Wasanii wawe makini otherwise vifua na moyo vitawamaliza.