data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
huyu binti alikua na macho mazuri na sauti legevu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok., hapa twamzungumzia NOORAH,, yule kijana wa 'ice cream'.
Btw huyu Norah yuko wapi sasa, alivuma sana wakat wake.
Mkuu unachanganya.madesa....usije kuua watu kwa pressure
Hahahahaaaa kwanini Jestina?
huyu ni nani.??
ok., hapa twamzungumzia NOORAH,, yule kijana wa 'ice cream'.
Btw huyu Norah yuko wapi sasa, alivuma sana wakat wake.
Pole sana noorah(nuura) hivi vifua kuna tatizo hapa!!
Mhhhh kwa jinsi nilivyomuona kwenye msiba wa Mez B! Hali yake ni mbaya jamani! Mungu amsaidie.
R.I.P wii.
Daaah!
Nimeshtuka!
Nimehuzunika!
Kwani kuna nini jamani!
My God kwaherini
Heading nayo irekebishwe yule ni Noorah sio Norah
Ndio hivyo kikubwa ni utambulisho tu wa mtu maana hata huku bara Lilian ni mwanamke lakini ukienda kule Ufaransa unakutana na Lilian Thurum mwanamumeKumbe Bongo NOORAH ni mwanamme, huku kwetu Zenji Noorah ni jina la kike.
Msanii Norah cjui ndo jina lake sahihi lakin afiwa na mkewe kwa ugonjwa wa kifua kilichombana hadi kuwekewa oxygen wakati huohuo Norah mwenyewe anaumwa kichwa yupo kwao shinganya kwa uangalizi maalum.
Rip Shem
Hujanielewa vizuri kaka. Aliye kuwa keroro ni met wangu mwingine siyo Nura. Huyo jamaa ndio akanipa story kwa ufupi kuwa jamaa yupo hoi na wanachember tunaisha. Kwa maana watu wote ambao walisoma kipindi hicho cha akina Mangwea, Mez B, Nura na Athuman Kabongo/ Dark Master ndio wote hupenda kujiita wanachember.
Huwezi kuamini mpaka leo nina daftari la notes za engeneering science la athuman kabongo a.k.a dark master, nakumbuka mbali sana.....! Mambo ya gima nini,kulala ujamaa middle
Ndio hivyo kikubwa ni utambulisho tu wa mtu maana hata huku bara Lilian ni mwanamke lakini ukienda kule Ufaransa unakutana na Lilian Thurum mwanamume
Sasa na wewe mwanamke anaweza kuwa na mke?? Soma vizuri heading usikurupuke, Tottenham Hotspur kuna mchezaji anaitwa Rose au mwanamuziki anaitwa usher kwa hiyo usichanganyikiwe na majina tu hayo!
My God kwaherini
Heading nayo irekebishwe yule ni Noorah sio Norah
hiki kifua hiki ni hatarii,Noorah mwenyewe damu yake ina vimelea vinavyosababisha ugonjwa wa kifua.RIP Mrs Noorah
Kufanya check up kunatibu ngoma?..waache umallaya