Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
nifah ndio ulisema ulimuona noorah kwenye msiba wa mez b hali yake si nzuri? ifike mahali tuwe tunatoa taarifa za kweli wanajf na sio kuandika unafiki tu. jinsi ulivyoandika ilikuwa nikama jamaa hatafika mwezi wa sita atakuwa amekufa..... watu wana majungu jamani sijawahi kufikiri kuwa nifah ni mtu mbaya kiasi hiki.
nifah ndio ulisema ulimuona noorah kwenye msiba wa mez b hali yake si nzuri? ifike mahali tuwe tunatoa taarifa za kweli wanajf na sio kuandika unafiki tu. jinsi ulivyoandika ilikuwa nikama jamaa hatafika mwezi wa sita atakuwa amekufa..... watu wana majungu jamani sijawahi kufikiri kuwa nifah ni mtu mbaya kiasi hiki.
Mungu akuponye Noorah
nifah mwenyewe anaishi magomeni unategemea nini, tumsamehe tu ni stress za ndoa zinamtesa
Mnaomjua Noorah plz kaeni karibu nae,maana.ukiwa unaumwa afu ukafiwa na mkeo,inaeza kuwa ticket hiyoy ya kukuondosha na wewe pia
Ndio hivyo kikubwa ni utambulisho tu wa mtu maana hata huku bara Lilian ni mwanamke lakini ukienda kule Ufaransa unakutana na Lilian Thurum mwanamume
Mke wake alikua anaumwa Asthma na ndio iliyomsababishia kifo chake... kabla umauti haujamkuta alibanwa na Asthma wakampeleka hospital lakini akawa hawezi kupumua vizuri.. akapelekwa ICU na kuwekewa mipira ya oxygen... ndio umauti ukamfikia hali ilizidi kuwa mbaya.
Back to Noorah mwenyewe hali yake si nzuri ni kama mtu aliekata tamaa na anasubiri siku yake ifike tu... wakati wa msiba alikua kila baada ya dakika kadhaa anazimia... hii ni kutokana na ajali aliyoipata.. msibani walizika kwao mwanamke yeye mwenyewe alienda mwenyewe hakuna wa kumsindikiza wala nini.. alikua yeye na begi lake... kiukweli anasikitisha.. sio noorah wa ice cream yule tuliekuwa tunambua (naupenda huu wimbo hadi leo) yeye mwenyewe analia marafiki zake Ngwair, Mez B wameondoka, rafiki wa karibu aliebakiwa mkewe amefariki kabaki mwenyewe.. Inshort hali yake si nzuri
Au hajapata tiba vizuri unajua cku hizi ugonjwa una gharama sana pia kipato nacho kinasaidia utibiwe vizuri
hakika ukiugua kama huna BIMA uwezekano wa kupoteza maisha ni mkubwa hata kaa ugonjwa unatibika.
Umezinote vizuri hints za wachangiaji wengi humu? Ushauri ni waache kabisaa" hizi mambo"!Swala la ugonjwa wa Noorah linanisikitisha sana...hivi sisi kama jamii hatuwezi kusaidia lolote afya yake irejee?
Haaaaa mwe nimejikuta nacheka
kuna wasanii wengi wa mziki hawasikiki waweza dhani wapo bize wanafanya mambo mengine kumbe wanapambana na maumivu ya mwili na roho. pole sana noorah.
hUYU DADA ALIMSUMBUA SANA IDDI LIGONGO MPAKA MSELA AKATAKA KUJIUA , SA HIVI IDDI LIGONGO YUPO ZAKE USA ANAKULA MAISHA TU NA FAMILIA YAKE. KAMA BABA DAIMONDE ALIVYOMDIS MTOTO WAKE SASA HIVI ANALIA LIA TURecently not nowView attachment 231685
haya bwana mtoto wa msasa, mzee wa complex, pole saana hajiHaji Nura ni classmate wangu O level pale Mazengo Sec enzi hizo. Juzi nilikuwa natoka Kahama nikashuka pale Dom kwa bahati nikaonana na met wangu pia O level salaam ya kwanza akaniambia kaka wanachember tunaisha acha tu, Nura mwenyewe yupo hoi sasa hivi ni hatari tupu. Niliona kama masihara kwakuwa jamaa alikuwa kachangamka kwa lager. Sasa nayakuta humu jf.
R.I.P shem.
Nura get well soon.
jina lake haji nuraKumbe Bongo NOORAH ni mwanamme, huku kwetu Zenji Noorah ni jina la kike.
mkuu mbona umesema hivi? kama hutojali nijibu inbox nielewe kitu.we unadhani ngwea alikosea alipoimba mitungi blunt mikasi na huenda walikua wanashea demu mmoja kama juma nature na chege wataisha hao