Simela ni wa juzi mkuu alikuwepo j4 aka Baba j tegemeo...Jamaa wanakufa sana Mkuu kina Juma Mpogo Omary Omary wote wametangulia...
Yule Mzaramo wa Segere naye katangulia.
Vp Jagwa bila Simera unaionaje?
Ila Simera ndo Flagship ya Jagwa mkuuSimela ni wa juzi mkuu alikuwepo j4 aka Baba j tegemeo...
Muongeze Saidi dabani kifo chake omary omary alimuimbia wimbo una vuta hisia kisha unakumbuka mbaliJamaa wanakufa sana Mkuu kina Juma Mpogo Omary Omary wote wametangulia...
Yule Mzaramo wa Segere naye katangulia.
Vp Jagwa bila Simera unaionaje?
Sijajua jinsi ya kutuma youtubes video humuUnaweza kuziweka humu nasi tuzifaidi
Unaweza ku-convert to audio then una-upload hapa.Nina album yao moja tu Liwalo na LiweSijajua jinsi ya kutuma youtubes video humu
Alipofariki Oscar Mkoba walimuimbia bonge moja la jisongi.Tangulia Dogo Jack Simela msalimie Baba Jay, Oscar Mkoba ...
😂😂😂😂mie ndo namskia leo..labda kwavile sipend hiyo mizikiAlikua anaimba kitu gani hapo?
Mkuu mnanda ndio umeenda kaka maana ktk waimbaji huyu Jaq Simera ndio aliyekuwa amebaki hii inauma sanaJamaa wanakufa sana Mkuu kina Juma Mpogo Omary Omary wote wametangulia...
Yule Mzaramo wa Segere naye katangulia.
Vp Jagwa bila Simera unaionaje?
Kweli Mkuu inauma sana talent ya ukweli imetoa....sad jamaa amekufa bila kupata recognition anayodeserve.Mkuu mnanda ndio umeenda kaka maana ktk waimbaji huyu Jaq Simera ndio aliyekuwa amebaki hii inauma sana
Nilishindwa kumuelewa Majizo kwa nguvu kubwa anayotumia kuinyanyua Singeri angekuwa na akili ya kuona mbali angeweka mnanda vijana wa zamani wote tungekuwa Efm lkn unahangaika na Copy ya mnanda wkt wenye mnanda wao wapoKweli Mkuu inauma sana talent ya ukweli imetoa....sad jamaa amekufa bila kupata recognition anayodeserve.
Inaonesha fika kua kwa hapa Tanganyika ishu sio talent ishu ni kua redio ngapi zinakujua utaskika tu hata kama unaimba makapi..
Sadly aina za wasanii wanaopata kusikika ni aina ya AMBA TYPE yani kama amba gigi mane na amba lulu amba ruti na amba wengineo......
Dah!huyu Oscar walimtungia wimbo baada ya kifo chake,ule wimbo mkali sanaTangulia Dogo Jack Simela msalimie Baba Jay, Oscar Mkoba ...
Oscar Mkoba alikuwa ni msanii wa Jagwa ?Alipofariki Oscar Mkoba walimuimbia bonge moja la jisongi.
Naipenda sana Oscar Mkoba, ngoma ya huzuni ila inaonyesha ni jinsi gani wao waliguswa na kuondokewa kwa mshkaji wao.
Hata walipokuwa kwenye project ya wahapa hapa walifanya ngoma kali sana inaitwa Mwana wa Kitwana, pini sana hili.
Jagwa imepotea sasa kama upepo, sidhani kama itasimama tena.
Huo ndo mziki pekee wakitanzania original,sema tunaujua sie wazawa wa huku uswahilini.Wale wakuja,wamkoani na waliokulia ushuani ngumu kuujua huu muziki wa mnanda na harakati zake.Sie waswahili tunaupenda mziki wetu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mie ndo namskia leo..labda kwavile sipend hiyo miziki
Mm nashangaaga watu wanajazana kumuona Diamond akiimba kwa playback wakati kuna watu wanapiga madude live kabisa cha kusitisha jamii haiwapi heshima wanayostahiliKweli Mkuu inauma sana talent ya ukweli imetoa....sad jamaa amekufa bila kupata recognition anayodeserve.
Inaonesha fika kua kwa hapa Tanganyika ishu sio talent ishu ni kua redio ngapi zinakujua utaskika tu hata kama unaimba makapi..
Sadly aina za wasanii wanaopata kusikika ni aina ya AMBA TYPE yani kama amba gigi mane na amba lulu amba ruti na amba wengineo......
Huwaga nashindwa kuelewa yani mtu unaenda kwenye show ya bongo fleva? Si bora uende kwenye bendi wanazopiga nyimbo za watu atleast u can dance mwanzo mwisho?Mm nashangaaga watu wanajazana kumuona Diamond akiimba kwa playback wakati kuna watu wanapiga madude live kabisa cha kusitisha jamii haiwapi heshima wanayostahili