Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Millard ayo anasema ajali, clouds fm na Jf wanasema ugomvi, jaman tz sources zina kanganya.Alipata ajali mwezi uliopita
B.w.e.ge weweAlikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
Haki ya Mola wangu walahi JF[emoji26] [emoji26]sasa hapa yamekujaje mkuu?
TrueUnaweza jiona mjanja kumbe mshamba,boya la maana. Siasa zenu za kumtakasa mtu anayeshabikia upinzan au anayeitukana serikali haziwasaidii katika safari ya milele.
Hujakosea mkuu akiwa na mdogo ake chamillion.Where you are alioshirikishwa na wale wadada wa blue 3 sijui pia aliutendea hakiNa ile ya bread and batter kama sijakosea
Sasa si ajali ugomviniMillard ayo anasema ajali, clouds fm na Jf wanasema ugomvi, jaman tz sources zina kanganya.
Nimesoma Bongo5 wanasema ni ugomviMillard ayo anasema ajali, clouds fm na Jf wanasema ugomvi, jaman tz sources zina kanganya.