TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Msanii mwanamuziki wa Uganda mie nime mkariri KAMILIONI tuu
 
Kwann wissel n radio huwa wanahusishwa na maugomvi frequently? Hata kaka yao chameleon .
 
Daah maskini nilikua naipenda sana sauti yake, Mungu ampumzishe kwa amani.
Dah nilikuwa naipenda sana sauti yake hata mimi. yeye na juliana kanyomozi,emmanuel nkulila ndio nawakubaligi kwa ug.
 
tapatalk_1517469121248.jpeg
huyu hapa
 
Back
Top Bottom