Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kupitia ww, nmejfunza kituAlikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
Huyu jamaa alikuwa anasauti ya UKWELI sana,,, sjui Weasal atakuwa anahali gani nowView attachment 688566huyu hapa
WEASAL NDO MDOGO WAKE CAMILLION LKN KUNA MWIMBO ULIHIT SANA NAKUDATA ALIIMBA NA MDOGO WAKE CAMILLIONRadio ndo yule mdogo wake na Jose chamilion
Sawa mkuuWEASAL NDO MDOGO WAKE CAMILLION LKN KUNA MWIMBO ULIHIT SANA NAKUDATA ALIIMBA NA MDOGO WAKE CAMILLION
Mmmmm yule ni good lyf ama?Na alifanya vizuri sana ktk nyimbo ya blu3 where u are
RIP RADIOView attachment 688566huyu hapa
ndo hivyo mkuuDah!
Blue3 ft Radio & Weasel - where you are
RIP Radio.
Acha aisee...Nakwamini nakudata!WEASAL NDO MDOGO WAKE CAMILLION LKN KUNA MWIMBO ULIHIT SANA NAKUDATA ALIIMBA NA MDOGO WAKE CAMILLION
yaap ndo yeye alikuwa anasauti ya ukwelRIP RADIO NDIO MGANDA NILIONA ANAPENDA KUONGEA KISWAHILI, NITAKUKUMBKUKA SANA KWA SAUTI NZURI
Kwa tabia hiyo ya kwenda kufanya fujo club, wacha afe tu. Msanii ni Kiongozi, anatakiwa kuwa na tabia nzuri katika jamii, hata kama kacholozwa, kaonewa au kutukanwa hatakiwa kuchukua hatua mkononi, bali kwenda kutoa taarifa kwa Mamlaka husika.
Mwanamuziki wa Nchini Uganda, Moses Sekibooga maarufu kwa jina la kisanii Mozey Radio afariki dunia
Mwanamuziki huyo alikimbizwa Hospitali ya Nsambya siku ya tarehe 23 Januari, 2018 baada ya kuanguka na kuvunjika shingo na fuvu la kichwa wakati akiwa kwenye ugomvi na mlinzi wa ukumbi mmoja wa starehe
Hata hivyo Hospitali hiyo haikuweza kumhudumua kutoka na kitengo cha wagonjwa mahututi kujaa ndipo msanii huyo alihamishiwa Case Clinic iliyopo Bungando Road JIjini Kampaka
hawa ni zaid ya kuwa kundi moja walikuwa zaidi ya marafikiWEASAL NDO MDOGO WAKE CAMILLION LKN KUNA MWIMBO ULIHIT SANA NAKUDATA ALIIMBA NA MDOGO WAKE CAMILLION