TANZIA: Msanii wa Uganda, Moses Sekibooga a.k.a Radio afariki dunia

Huyo aliyesababisha jamaa akafa nadhani hata familia yake imekata tamaa ya kuja kumuona tena,atanyongwa hadi kufa(nawaza kwa sauti).
Lakini marehemu alikuwa na historia ya ugomvi ugomvi sana, hasa kwenye mabaa, mara nyingi tu ameshashikiliwa na polisi. Mara nyingine amewakimbia polisi...yani hii safari hii ni bahati mbaya tu

R.I.P
 
hii ngoma ilihiti sana
 
na juzi daktar aliyekuwa anamhudumia aliutangazia umma kwamba dawa wanazompa na drip wanazomwekea hazifanyi kazi kwa sababu ya matumizi ya kiwango kikubwa ya kilevi aina ya shisha.
 
na juzi daktar aliyekuwa anamhudumia aliutangazia umma kwamba dawa wanazompa na drip wanazomwekea hazifanyi kazi kwa sababu ya matumizi ya kiwango kikubwa ya kilevi aina ya shisha.
Kweli unachokipenda ndicho kitakachokuua......!

R.I.P. Radio....
 
hakuna ngoma kali ya kwao kama KUKU na ile nyingine inaitwa BREATH AWAY
 
Pombe mbaya, inasababisha maovu mengi sana
Pombe haikunyanyua kitu kizito na kumpiga nacho marehemu mkuu. Binadamu ndio m'baya, sababu binadamu ndiye alitenda hilo kosa. Usiichumie pombe dhambi kamanda.
"Guns don't kill people....People kill people."
Apumzike kwa Amani.
 
Hii imeniuma sana sana ...................!!Day. RIP Radio
 
Kwa tabia hiyo ya kwenda kufanya fujo club, wacha afe tu. Msanii ni Kiongozi, anatakiwa kuwa na tabia nzuri katika jamii, hata kama kacholozwa, kaonewa au kutukanwa hatakiwa kuchukua hatua mkononi, bali kwenda kutoa taarifa kwa Mamlaka husika.
NA ALIKUA ANAGOMBANA SANA NA TRAFIK BARABARANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…