Black Coffee
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,931
- 3,177
R. I. P young soul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Radio hakuwa mdogo wa Chamillionalafu huyo dogo alikuw mdogo wake chamilion
All in all alale mahala pema peponi Amen
huyu jamaa misala yake ilikuwa ya ugomvi tu kupiga wasanii wenzake alishawah kumdunda bebecool na bouncer wke pia alishawahi kumpiga kaka yake chamilion kwa kile alichodai kwamba aliwaskia wakimsema vibaya yeye na mama yake ndipo akabisha hodi na kulianzisha vag
Rest In Peace kijana
Irrational!Alikuwa upande gani kisiasa? Alikuwa anakubaliana na kipengele cha katiba yao kinachopiganiwa kubadilishwa ili kuondoa ukomo wa utawala ama lah?
yangu ya kichalii ya ngarenaro uipendi?? jamaniDaah maskini nilikua naipenda sana sauti yake, Mungu ampumzishe kwa amani.
Watoto wa arusha siwapendi huwa mnajifanya bangi sanayangu ya kichalii ya ngarenaro uipendi?? jamani
sanaNa alifanya vizuri sana ktk nyimbo ya blu3 where u are
hivi huo wimbo unaitwaje?Nakuamini nakudata omutima wange olikomusobora ooohh ohhh, bonge la songi lililonifanya nikamkubali jamaa RIP
Umechanganya mafailialafu huyo dogo alikuw mdogo wake chamilion
All in all alale mahala pema peponi Amen
huyu jamaa misala yake ilikuwa ya ugomvi tu kupiga wasanii wenzake alishawah kumdunda bebecool na bouncer wke pia alishawahi kumpiga kaka yake chamilion kwa kile alichodai kwamba aliwaskia wakimsema vibaya yeye na mama yake ndipo akabisha hodi na kulianzisha vag
Rest In Peace kijana
Umechanganya mafailialafu huyo dogo alikuw mdogo wake chamilion
All in all alale mahala pema peponi Amen
huyu jamaa misala yake ilikuwa ya ugomvi tu kupiga wasanii wenzake alishawah kumdunda bebecool na bouncer wke pia alishawahi kumpiga kaka yake chamilion kwa kile alichodai kwamba aliwaskia wakimsema vibaya yeye na mama yake ndipo akabisha hodi na kulianzisha vag
Rest In Peace kijana
Kwan kumkubali mtu mpk umumpost je kipindi hazikuwepo izi mitandao walikuwa wanafanyaje....Acha unafiki ulikuwa unampenda mbona haukuwahi kupost post yoyote ya kuonyesha unampenda enzi za uhai wake,ndio maana kuna mistari ya marehemu langa kileo aliandika usisubiri mpaka nife ndio ukubari am the best