Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya.

Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitisha kuwa, msanii huyo wa filamu ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
View attachment 346770

R.I.P Muigizaji na mchekeshaji mahiri wa Bongo Dunia mapita by Matonya.
 
Back
Top Bottom