Hhhhhaaaa looo amekua lowasa
Umeandika kuwa kila nafsi itaonja mauti. Je ulisha sikia kuwa siku ya mwisho kuwa walio hai wengine watanyakulikwa wakiwa hai?
"Kristo Yesu atakayewahukumu walio hai na waliokufa, kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake .. taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile" (2Tim. 4:1;8). Toka hapa fahamu kuwa sio wote wataonja mauti.
Pia imeandikwa, Warumi 6:23 "Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu."
Watenda dhambi wanakufa kimwili na kiroho. Waliookoka wanakuwa hai kiroho, ufalme wa Mungu unakuja kwa watu wake hapa duniani kama ilivyo Mbinguni (kumbuka sala ya Baba Yetu uliye Mbinguni).
Umezipata wapi hizo habari best???au ndio lundenga kasema hayo kwenye press conference???na je watashindanishwa wote 30 au baadhi???
Pombe+bange÷dhambi=Umauti
acha wafu wazike wafu wao
R.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
NONSENSE! Wewe usiedhambi tukuone ukiishi milele. Idiot.
Tetes ni kwamba msanii wa bongo frever YP nikweli? mlioko temeke mtujuze,na alikuwa anaumwa nini!
Souce-mitandao ya kijamii.
wabongo bwanaR.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
Jamaa alikuwq na TB. Ukweli ni kuwa Jamaa alikuwa anabugia mapombe makali ya kienyeji na ya kiwandani. Mbaya zaidi alikuwa anavuta sana sigara na bangi(hii ya bangi naithibitisha) sasa ukiwa na TB na mwenendo ukawa hivyo ni lazima utaondoka tu. Kwamba jamaa alikuwa na HIV hilo siwezi kulithibitisha maana kwa siku za sasa kumjua mwathirika kwa macho ni ngumu sanaukiona sababu za kifo haziko wazi we jiongeze tu kwa kuangalia mwenendo wa maisha ya marehem miaka ya karbuni.mi nahis sigara na bange japo wapo wanaodai ni h.i.v
ebwana namsikiliza zembwela hapa kwenye supamix ndio amesema.
Yp ni msanii wa wanaume tmk aliyeimba kwenye dar mpaka moro akishilikiana na temba na chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na temba na chege.
R.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.