Tanzia: Msanii YP wa kundi la 'Wanaume TMK' afariki dunia

Tanzia: Msanii YP wa kundi la 'Wanaume TMK' afariki dunia

Umeandika kuwa kila nafsi itaonja mauti. Je ulisha sikia kuwa siku ya mwisho kuwa walio hai wengine watanyakulikwa wakiwa hai?

"Kristo Yesu atakayewahukumu walio hai na waliokufa, kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake ….. taji ya haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile" (2Tim. 4:1;8). Toka hapa fahamu kuwa sio wote wataonja mauti.

Pia imeandikwa, Warumi 6:23 "Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu."

Watenda dhambi wanakufa kimwili na kiroho. Waliookoka wanakuwa hai kiroho, ufalme wa Mungu unakuja kwa watu wake hapa duniani kama ilivyo Mbinguni (kumbuka sala ya Baba Yetu uliye Mbinguni).

Asante sana mpendwa umemaliza kila kitu ubarikiwe na YESU KRISTO WA NAZAREZI ALIYE HAI.
 
Duniani tu wapita njia tu - kalale pema peponi kamandaaa....kalale pema peponi kamandaaaa....
 
Kaka ile ngoma yake na Y-Dash inaitwa Shemsa....ilikuwa na maneno " Hukunipenda mi ulipenda pesa"
 
Tetes ni kwamba msanii wa bongo frever YP nikweli? mlioko temeke mtujuze,na alikuwa anaumwa nini!

Souce-mitandao ya kijamii.

ukiona sababu za kifo haziko wazi we jiongeze tu kwa kuangalia mwenendo wa maisha ya marehem miaka ya karbuni.mi nahis sigara na bange japo wapo wanaodai ni h.i.v
 
ukiona sababu za kifo haziko wazi we jiongeze tu kwa kuangalia mwenendo wa maisha ya marehem miaka ya karbuni.mi nahis sigara na bange japo wapo wanaodai ni h.i.v
Jamaa alikuwq na TB. Ukweli ni kuwa Jamaa alikuwa anabugia mapombe makali ya kienyeji na ya kiwandani. Mbaya zaidi alikuwa anavuta sana sigara na bangi(hii ya bangi naithibitisha) sasa ukiwa na TB na mwenendo ukawa hivyo ni lazima utaondoka tu. Kwamba jamaa alikuwa na HIV hilo siwezi kulithibitisha maana kwa siku za sasa kumjua mwathirika kwa macho ni ngumu sana
 
yp.jpg


ebwana namsikiliza zembwela hapa kwenye supamix ndio amesema.

Yp ni msanii wa wanaume tmk aliyeimba kwenye dar mpaka moro akishilikiana na temba na chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na temba na chege.



r.i.p yp..
 
Back
Top Bottom