GANJA ROLLER
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 709
- 273
ukiona sababu za kifo haziko wazi we jiongeze tu kwa kuangalia mwenendo wa maisha ya marehem miaka ya karbuni.mi nahis sigara na bange japo wapo wanaodai ni h.i.v
labda sigara,bangi haina madhara kwa mwili wa mtu