King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
- Thread starter
- #161
yeah nimeambiwa na jamaa yangu wa tmk kuwa ni kweli sembe litawamaliza vijana wa bongo
r.i.p yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
nimekaa na yp mara kibao na ingawaje sikuwahi kuhisi kwamba anaugua kifua lakini sasa ndo unanifungua macho... Ni kweli alikuwa na dalili zote za mtu mwenye matatizo ya chest.
mБФИД hДmЦΞlΞЩΞҜi? Иi sΞmБΞ ДЦ ИgФmД ДЦ ИgЩΞИgЩΞ iliУФmЦФИdФД?