The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Wanawake ambao hawajalelewa vizuri kimaadili huwa ni matatizo, Pale anapoanza kupata exposure na hali yake ya uchumi kutengamaa huwa wanaanza dharau katika ndoa zao. Sasa wanaume wengi huwa hawapendi wanawake waobadilika ghafla.True wanawake wengi sana huwaaribu watoto wao kwa kuwatupia lawama za baba za watoto ili waonekane mababa ni wabaya wakati chanzo kikuu huwa kina mama,kiwafanyacho kina baba kukwepa gubu au dharau
Maisha bila unafiki hayaendiWatu mmejaa unafiki sana aisee.....daah.
Umeumizwa na kifo cha mtoto huyu tuu, possibly coz unamjua /umeona picha zake, au na vifo vya mamia ya watoto wengine wanaofariki daily lakini hatusikii habari zao?Why?
Hahahahaaaa! Zi nini hizo za kushikwa na Stivu? JF Raha sana - fulu mafumbo!Kwan hata za mtoto atashika yeye
Kwanza ni mtoto wa nani na alikuwa na uspesho upi kupita watoto wanaofariki kila siku?Hivi kwani kuna kipi cha ajabu apa, Daah
Mkuu...Wengi wanadahani kwamba yule marehemu mtoto alikuwa wako na wewe pia ukajifanya ni wako
ukweli nikwamba ni wa mume wa ndoa wa Muna,wewe kipindi kile ulifata visenti vyake vya kuuza unga
mpira umerudi golini sasa,usijikaze sema tu ukweli yule marehemu siyo mwanao.
Mmmh we una kitu unakijua hebu tumegee kidogoNasikia anatakiwa kuzaa mwingine ili watemi wamtwae maana bado ana deni kubwa tu la sadaka. Akishindwa wanamtwaa yeye. Sasa kwa wale mabazaz watakaokubali kijacho kiwe sadaka basi kazi kwao maana "menyu njenje" Hawezi kukubali wamtwae!
Vivue, utatoka MalengelengeNavaa viatu vya Muna vinanibana.
R. I. P
NAMM NNA SWALI KAMA HILI,,KUNA KITU KINAFICHIKA HAPAPole Sana Muna Luv kwa Kumpoteza Mtoto.
--Ila Muna amepitia changamoto nyingi sana na Marehemu mwanawe.....Huyo Dogo alikuwa anaijua dini sana na akaokoka.
-Ugonjwa wa figo kwa mtoto mdogo,chanzo ni nini?
Duh!...Rest in Peace Angel!...tukumbuke watoto wetu nao wana haki zao, tusilazimishe nao kuingia katika ulimwengu wetu wa ki "super star" kabla.majira yao hayajafika!
LabdaNaikia sio babake mzazi, alimkuta bidada anaujauzito wa Pat........labda alikuwa ameshajua sio motto wake that's why hakuwa attention na mtoto
MhhNasikia anatakiwa kuzaa mwingine ili watemi wamtwae maana bado ana deni kubwa tu la sadaka. Akishindwa wanamtwaa yeye. Sasa kwa wale mabazaz watakaokubali kijacho kiwe sadaka basi kazi kwao maana "menyu njenje" Hawezi kukubali wamtwae!
Mtafungwa kwa uongo, sipendi kuona jinsia ya kiume inatunga vitu vya uongoNasikia anatakiwa kuzaa mwingine ili watemi wamtwae maana bado ana deni kubwa tu la sadaka. Akishindwa wanamtwaa yeye. Sasa kwa wale mabazaz watakaokubali kijacho kiwe sadaka basi kazi kwao maana "menyu njenje" Hawezi kukubali wamtwae!
Mkuu mbona wanasema huyo mapensi sio dingi...Fundisho dogo sana tunalipata kupitia huyu mtoto kwamba
1.ugomvi wa baba na mama usimuhusu mtoto......
2.matatizo ya familia hayatatuliwi mitandaoni....
3.Usitake kumkomoa mzazi mwenzako kwa kupitia mtoto...
4.Wanaume tusiwe shamba wa mapenzi kisa umepata msichana unayedhani kuwa ni mzuri na maarufu ukasahau hadi mwanao kisa tu unakula bata na huyo malaya
5.Castro na Muna ni Was.enge ugomvi wao umepelekea kifo cha mtoto wao kizembe sana
6.Wanawake/Wanaume wa mitandaoni sio wa kuoa au kuolewa nao hawana family ethics...
7......ongezea.....
Nzagambadume = kwa lugha ya huku kwetu usukumani, NZAGAMBA ni ng'ombe dume, kwa hiyo huyo ni "ng'ombe dume, dumeMkuu...
Yaani kwa maneno haya nimejikuta ninatamani kujua jinsia yako tafadhali....maana Duhhh
Samahani laki