TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia


HATA HUJUI UNAONGEA NINI
 

Wewe ndio humjui wengine tulikuwa tunamfatilia toka kitambo tu. Jua alikuwa ana kitu special. Wabongo kawaida kuoneana wivu Wa kijinga Kama Wewe mmoja wapo.
 
Tunaishi ili tufe wakati ukifika na hakuna ajuaye muda.

Mungu amrehemu.
 
'Naomba nitoe Rai kwa wanawake wengine wote tafadhali msiwatumie watoto kama silaha ya kuwaadhibu wenzi wenu mlioachana nao kwani mnakuwa hamuwaadhibu wenzi tu bali pia watoto ambao hawana hatia'rai hii iwafikie wahusika...
 
Duh, povu nimelielewa sana mkuu.
 
Hivi Muna ni nani?
Muna ni Maimuna ambaye alipofika mjini akiwa amepauka kama goti la kilema, baada ya kudeki sura dipo akajibatiza jina la MunaLove, then akafahamiana na Wema Sepenga kabla hajamuibia Chupi iliosababisha akawa maarufu.
Ila naskia baadae alikuja kuokoka, na akaanza mchakato wa kwenda China kuondoa Tattoo zilizo mjaa mwilini enzi hizo alipo pokelewa mjini na Peter...

Kwaleo naomba niishie hapa tafadhali.... tehteehhh
 
Sote huwa tunafahamu kuwa,kuna kuzaliwa na kufa.lakini ni kitu gani huwafanya watu kulia mtu akifa?sio kama hulia ili arudi hapana!!bali vilio vile ni uchungu wa kutokumuona tena mpendwa wao.Hawakukosea kumwita kijana huyu Patrick kwani sura na mwenendo wa maisha yake uliendana na jina lake.kinachoniumiza mimi si kifo chake hapana!!maana sote tutakufa ila kilichonigusa ni kuona kijana mdogo kama huyu aliyekuwa akianza kupanga malengo ya maisha yake,ila ndoto zake zikazima ghafla kama nyuzi ya mwisho ya mshumaa.Mungu alitoa,na Mungu alitwaa,jina lake lihimidiwe milele amin[emoji45][emoji45]
 
Hata kama sio mwanaye ndiyo asimjali? Au tuseme hampendi mpenziwee kama anashindwa
kuangalia ugonjwa wa mtoto wa mpenzi wake wala sio mapenzi hayo!
Wa kulaumiwa ni mama yake, aliyemwingiza mtoto kwenye kisanga hiko cha ugomvi na bwana wake hadi jamaa akawa anatukanwa. Yule jamaa naye ni binadamu pia.

Ukitazama kwa umakini utajua uhusiano mpya Munna hakuupenda ndiyo akatumia ugonjwa kama silaha auharibu, yaani wanawake unaweza kuachana naye na akaridhia kuvunja uhusiano ila ukianza uhusiano mpya akaanza visanga.

Yote hayo kayasababisha huyo mama kumuhusisha mtoto, ndiyo akambandika jukumu la ubaba halisi aonekane hovyo. Tatizo mwanamke anapenda kuonekana yeye ndiyo anaonewa, hata kama ana makosa.
 
Wasipo kuelewa achana nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…