TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Fundisho dogo sana tunalipata kupitia huyu mtoto kwamba
1.ugomvi wa baba na mama usimuhusu mtoto......
2.matatizo ya familia hayatatuliwi mitandaoni....
3.Usitake kumkomoa mzazi mwenzako kwa kupitia mtoto...
4.Wanaume tusiwe shamba wa mapenzi kisa umepata msichana unayedhani kuwa ni mzuri na maarufu ukasahau hadi mwanao kisa tu unakula bata na huyo malaya
5.Castro na Muna ni Was.enge ugomvi wao umepelekea kifo cha mtoto wao kizembe sana
6.Wanawake/Wanaume wa mitandaoni sio wa kuoa au kuolewa nao hawana family ethics...
7......ongezea.....

HATA HUJUI UNAONGEA NINI
 
Natoa pole kwa wafiwa wote.

Lakini kila kitu ni upuuzi mtupu.
Sijaona cha maana au cha msingi cha kufanya kifo cha huyo mtoto kuwa story za kuvuma mitandaoni. Ni ulimbukeni mtupu.

Huyo mtoto ni nani?
Wazazi wake ni wakina nani?
Kuna kitu gani so special kumhusu huyo mtoto au wazazi wake?

Wewe ndio humjui wengine tulikuwa tunamfatilia toka kitambo tu. Jua alikuwa ana kitu special. Wabongo kawaida kuoneana wivu Wa kijinga Kama Wewe mmoja wapo.
 
Tunaishi ili tufe wakati ukifika na hakuna ajuaye muda.

Mungu amrehemu.
 
Binafsi nimesikitishwa sana na kifo cha Malaika huyu, hakika Dunia hii ina mengi ya kuhuzunisha. Mwenyezi Mungu ampumzishe mahali pema Ameen.
Pamoja na yote naomba kutoa mtazamo wangu juu ya yale yanayoendelea huku mtandaoni hasa baada ya kuona kila mmoja akimtupia shutuma na lawama mzazi wa kiume wa mtoto huyu. Nawaomba watanzania tuache kuwa na mihemko kwani jambo hili si la kukurupuka tu na kumtukana mtu bila kutafuta ukweli uliojificha nyuma ya tukio lenyewe.
Tunamshutumua na kumuhukumu Casto Dickson kwakuwa hatujui au kwa makusudi tumeamua kupuuza kilichokuwa kinaendelea kati yake na mzazi mwenzie. Mama wa mtoto alijitahidi sana kumuadhibu mzazi mwenzie kwa kutengeneza 'gape' kati ya baba na mtoto na hilo ni kosa kubwa sana ambalo wanawake hupenda kulifanya kwa wazazi wenzao waliotengana. Casto kama mzazi najua alitamani sana kuwa karibu na mwanae si kipindi hiki tu cha matatizo bali hata kabla ya matatizo lkn nafasi hiyo asingeweza kuipata kwakuwa mzazi mwenzie aliamua kuhamishia visasi vyake vya kimapenzi kwa mtoto na baba na kuitumia kama adhabu jambo ambalo ni kosa kubwa kwani alimnyima mtoto haki ya kupata malezi ya wazazi wake wote wawili na akamnyima baba haki ya kumlea na kumuonesha upendo wa mzazi mwanae. Issue ya yeye kuwa na mahusiano mengine ni jambo binafsi na haki yake maana alikuwa ameshaachana na mwenzie hivyo haihusiani wala haiathiri hata kidogo makuzi na malezi ya mtoto. Naomba nitoe Rai kwa wanawake wengine wote tafadhali msiwatumie watoto kama silaha ya kuwaadhibu wenzi wenu mlioachana nao kwani mnakuwa hamuwaadhibu wenzi tu bali pia watoto ambao hawana hatia. Pole sana ndugu yangu Casto Dickson na mama wa mtoto kwa kumpoteza mtoto ambaye kama wazazi najua mlikuwa na matarajio mengi na makubwa juu yake, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu mnachopitia. Mimi kama mwanaume nnayefahamu misukosuko inayotokea pindi wenza wanapoachana kamwe sitathubutu kufungua mdomo wangu kumshambulia yeyote kati yao.
Rest In Peace Malaika wa Mungu, mbele wewe nyuma sisi.View attachment 801956
'Naomba nitoe Rai kwa wanawake wengine wote tafadhali msiwatumie watoto kama silaha ya kuwaadhibu wenzi wenu mlioachana nao kwani mnakuwa hamuwaadhibu wenzi tu bali pia watoto ambao hawana hatia'rai hii iwafikie wahusika...
 
Wakifa watoto wa ndugu zenu
hampost, wakifa watoto wa wenzenu mnapost ila awe star'. Akifa mtoto wako utampost wewe tu hakuna atakae shuhulika. Sasa ni nin hii?

Kila mtu a play party yake tuache unafiki.

Watu wanajifnya wanajari sana misiba inapotokea kwa mtu hasa akiwa maarufu watapost kila mahari
ila hawa hawa binadamu hawajali unapotokea msiba hata awe ndugu yake atachukulia kawaida tuu.

Ukweli upo hivyo. Sasa achana nahii ya watu 20 ,kuna watu wafamilia moja wapatao 14 walikufa siku moja kwaajali yaan siku moja on the spot palepale watu wa familia moja wapatao 14.. Unaweza pima haya maumivu???

Lkn ilipita kama zilivyopita ajali myingine. Alafu leo Kafa dogo. Kisa ni mtoto wa star basiii si IG mpaka JF,, ni vilio vya kinafiki tu ndo vimepakaa, .....wengine hapo hapo uko Insta ndo wanatumia Fursa hii kupata follower, page zao kutembelewa ili wapate pesaa, wengine humh JF niwafuata mikumbo tuu ,nao wanafake majonzi ili waonekane wanauchungu .

Mamaee zao, wengine hapa ,majuzi ndugu zao wa damu wamekufa, lkn hata kutuambia humu au kumpost uko IG hamnaaa, wengine humu hawajauzulia vifo vya ndugu zao kibao, wakijifanya wapo bize kupita kiasi ..mamaee zao ..

ACHENI KUJITIA UNAFIKI , USOKUA NAMAANA HUKU ROHON MWENU MKIJIJUA.

amekufa, yes amekufa, mwacheni mtoto wawatu apumzike kwa amani sio kuanza kumjadili saizi, .. ***** zenu, Mbona hamkutoa mchango wa dogo kupata matibabu husika??

Upuuzi tu ndo mmejaa, mbona, hamkuchukua jukumu lakwenda kwa mona ,au baba halisi wtoto au baba wakambo nakuwaeleza hali halisi ili wamjengee mtoto mazingira bora??

Mtoto anakufa ndo mnajifanya kutunisha mijicho yenu ,na vilio vya kisenge sengee humu ,muonekane mnahuruma ..pumbavu sana .

Eti kijitu kinakuja kusema * Uzembe wa mona ,ndo umeua mtoto..ohooooo walifanya siri sana, ohoooo baa wakambo hakujali,.ohoooo baba wakambo na mona ndo wamefanya kifo* .. Pumbavuu zenu, peleken huko unafiki wenu. MLIKUA WAPI KWENDA KWA MONA AU BABA WAKAMBO MKAWASHAULI ?? WENDA MNGEKUA SEHEMU YA UHAI WA MTOTO HUYU ?? MLIKUA WATU??

alafu mijitu mingine ,Unafikiiii unafiki tu imewajaa na umbeya wakipuuzi .
Duh, povu nimelielewa sana mkuu.
 
Hivi Muna ni nani?
Muna ni Maimuna ambaye alipofika mjini akiwa amepauka kama goti la kilema, baada ya kudeki sura dipo akajibatiza jina la MunaLove, then akafahamiana na Wema Sepenga kabla hajamuibia Chupi iliosababisha akawa maarufu.
Ila naskia baadae alikuja kuokoka, na akaanza mchakato wa kwenda China kuondoa Tattoo zilizo mjaa mwilini enzi hizo alipo pokelewa mjini na Peter...

Kwaleo naomba niishie hapa tafadhali.... tehteehhh
 
Sote huwa tunafahamu kuwa,kuna kuzaliwa na kufa.lakini ni kitu gani huwafanya watu kulia mtu akifa?sio kama hulia ili arudi hapana!!bali vilio vile ni uchungu wa kutokumuona tena mpendwa wao.Hawakukosea kumwita kijana huyu Patrick kwani sura na mwenendo wa maisha yake uliendana na jina lake.kinachoniumiza mimi si kifo chake hapana!!maana sote tutakufa ila kilichonigusa ni kuona kijana mdogo kama huyu aliyekuwa akianza kupanga malengo ya maisha yake,ila ndoto zake zikazima ghafla kama nyuzi ya mwisho ya mshumaa.Mungu alitoa,na Mungu alitwaa,jina lake lihimidiwe milele amin[emoji45][emoji45]
IMG-20180703-WA0056.jpg
 
Hata kama sio mwanaye ndiyo asimjali? Au tuseme hampendi mpenziwee kama anashindwa
kuangalia ugonjwa wa mtoto wa mpenzi wake wala sio mapenzi hayo!
Wa kulaumiwa ni mama yake, aliyemwingiza mtoto kwenye kisanga hiko cha ugomvi na bwana wake hadi jamaa akawa anatukanwa. Yule jamaa naye ni binadamu pia.

Ukitazama kwa umakini utajua uhusiano mpya Munna hakuupenda ndiyo akatumia ugonjwa kama silaha auharibu, yaani wanawake unaweza kuachana naye na akaridhia kuvunja uhusiano ila ukianza uhusiano mpya akaanza visanga.

Yote hayo kayasababisha huyo mama kumuhusisha mtoto, ndiyo akambandika jukumu la ubaba halisi aonekane hovyo. Tatizo mwanamke anapenda kuonekana yeye ndiyo anaonewa, hata kama ana makosa.
 
Wakifa watoto wa ndugu zenu
hampost, wakifa watoto wa wenzenu mnapost ila awe star'. Akifa mtoto wako utampost wewe tu hakuna atakae shuhulika. Sasa ni nin hii?

Kila mtu a play party yake tuache unafiki.

Watu wanajifnya wanajari sana misiba inapotokea kwa mtu hasa akiwa maarufu watapost kila mahari
ila hawa hawa binadamu hawajali unapotokea msiba hata awe ndugu yake atachukulia kawaida tuu.

Ukweli upo hivyo. Sasa achana nahii ya watu 20 ,kuna watu wafamilia moja wapatao 14 walikufa siku moja kwaajali yaan siku moja on the spot palepale watu wa familia moja wapatao 14.. Unaweza pima haya maumivu???

Lkn ilipita kama zilivyopita ajali myingine. Alafu leo Kafa dogo. Kisa ni mtoto wa star basiii si IG mpaka JF,, ni vilio vya kinafiki tu ndo vimepakaa, .....wengine hapo hapo uko Insta ndo wanatumia Fursa hii kupata follower, page zao kutembelewa ili wapate pesaa, wengine humh JF niwafuata mikumbo tuu ,nao wanafake majonzi ili waonekane wanauchungu .

Mamaee zao, wengine hapa ,majuzi ndugu zao wa damu wamekufa, lkn hata kutuambia humu au kumpost uko IG hamnaaa, wengine humu hawajauzulia vifo vya ndugu zao kibao, wakijifanya wapo bize kupita kiasi ..mamaee zao ..

ACHENI KUJITIA UNAFIKI , USOKUA NAMAANA HUKU ROHON MWENU MKIJIJUA.

amekufa, yes amekufa, mwacheni mtoto wawatu apumzike kwa amani sio kuanza kumjadili saizi, .. ***** zenu, Mbona hamkutoa mchango wa dogo kupata matibabu husika??

Upuuzi tu ndo mmejaa, mbona, hamkuchukua jukumu lakwenda kwa mona ,au baba halisi wtoto au baba wakambo nakuwaeleza hali halisi ili wamjengee mtoto mazingira bora??

Mtoto anakufa ndo mnajifanya kutunisha mijicho yenu ,na vilio vya kisenge sengee humu ,muonekane mnahuruma ..pumbavu sana .

Eti kijitu kinakuja kusema * Uzembe wa mona ,ndo umeua mtoto..ohooooo walifanya siri sana, ohoooo baa wakambo hakujali,.ohoooo baba wakambo na mona ndo wamefanya kifo* .. Pumbavuu zenu, peleken huko unafiki wenu. MLIKUA WAPI KWENDA KWA MONA AU BABA WAKAMBO MKAWASHAULI ?? WENDA MNGEKUA SEHEMU YA UHAI WA MTOTO HUYU ?? MLIKUA WATU??

alafu mijitu mingine ,Unafikiiii unafiki tu imewajaa na umbeya wakipuuzi .
Wasipo kuelewa achana nao
 
Back
Top Bottom