TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Munalove ni nani?
Muna ni Maimuna ambaye alipofika mjini akiwa amepauka kama goti la kilema, baada ya kudeki sura dipo akajibatiza jina la MunaLove, then akafahamiana na Wema Sepenga kabla hajamuibia Chupi iliosababisha akawa maarufu.
Ila naskia baadae alikuja kuokoka, na akaanza mchakato wa kwenda China kuondoa Tattoo zilizo mjaa mwilini enzi hizo alipo pokelewa mjini na Peter...

Kwaleo naomba niishie hapa tafadhali.... tehteehhh
 
Kwani mtoto wa casto au peter
 
Pumzika kwa amani motto mzuri, mengine hata siyajui
 
Nilishawahi msikia casto kwenye kipindi cha Playlist cha clouds tv kama sijakosea mwaka Jana au Juzi alisema ni kweli ana mtoto kwa Huyo munalove!

Sijui hawa wanaosema mtoto sio wa casto waliambiwa na nani!
Vurugu tupu huko Leo IG nami najua hvyo ila naona kuna baba mwingine sasa
 
Vurugu tupu huko Leo IG nami najua hvyo ila naona kuna baba mwingine sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji23]
Wabongo utawaweza!
Sasa baba mtu alishakubali na wala akiulizwa hilo swali alikua haongei kwa hofu kua huyo ni mwanae wameshupalia mtoto sio wake aiseee!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji2] [emoji23]
Wabongo utawaweza!
Sasa baba mtu alishakubali na wala akiulizwa hilo swali alikua haongei kwa hofu kua huyo ni mwanae wameshupalia mtoto sio wake aiseee!
Yaani wabongo tunapenda kutafuta kick hata kwenye matatizo ya watu
 

Watanzania wengi tuna shobo.
 
Nyumba zina mengi jamani. hayo ya wazazi kufarakana, sidhani ni big deal. Big deal ni wao kuamua kuyaanika hadharani. Kwa hiyo wakichambuliwa na walimwengu sidhani kama ni shida au unafiki. Maana walipenda wenyewe iwe hivyo.

Ukitaka kuishi maisha ya Camera athari zake ndo hizi. Nadhani hawa watu wanapendwa kusemwa semwa na kuandikwa. Hivi leo likimtokea jambo Le Mutuz kuna ambaye atamhurumia eti anafuatiliwa sana? Maana he makes his living from the media.

Kila aina ya maisha unayoichagua na kuishi ina gharama zake. Sharti uwe Tayari kulipa hiyo gharama.

Dogo apumzike kwa amani.
 

Umesahau fundisho moja muhimu sana. Moja ya madhara ya kuzaa nje ya ndoa ndio haya. Laiti km huyu mtoto angekua amezaliwa kwenye ndoa kusingekua na huu ujinga wa kumtaftia baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…