Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

Dr. Waambie ukweli wanaeenda kinyume na maumbile wengi wao ni lazima wajifungue kwa kisu.
 
Msanii wa bongo movie (Recho) Rachel Haule amefariki dunia usiku wa kuamkia may27 katika hospitali ya taifa Muhimbili, Recho alifika Muhimbili tar25 kwa ajili ya kujifungua, habari zinasema kuwa baada ya kufika hospitali alilazwa na alipojifungua mtoto alifariki hali ya mama ikiwa mbaya zaidi na kuhamishwa ICU ndipo mauti ilipomkuta.
Mwenyekiti wa bongo movie Steven Nyerere amethibitisha kutokea kwa kifo cha Msanii huyo.
Mungu alaze roho yake mahali pema peponi. (AMEN)
 
Poleni sana wafiwa, bwana ameleta bwana ametwaa
 
Seriously im so shocked, kwa kweli
ila kazi ya Mungu haina makosa,
Rachel ni mwanafamilia wa Bongo
Movie amefariki asubuhi kwa taarifa
zaidi tutapata kwa mwenyekiti wa
Bongo Movie Steve Nyerere ambaye
anaelekea Muhimbili sasa ambapo
mwili wa marehemu ulipo
hifadhiwa, Poleni sana wafiwa na
fans wa Rachel na Bongo Movie kwa
ujumla maana hiki ni kipindi
kigumu sana.....
RIP RACHEL HAULE


Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve
Nyerere, zimesema kuwa Recho
alikwenda Muhimbili jana kujifungua
ambapo mara baada ya kujifungua
mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa
mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU
ambako hali ilizidi kuwa mbaya na
baadae kufariki dunia.

Yaani huyu steve mwaka huu ahamie mochuari tu..yaani awe anakaa huko huko kurahisisha logistics
 
images

Mmh! Kuna watu wanafaidi hawa wabongo muvi! R. I. P marehemu
 
Halafu mbona siku hizi operation zimekuwa common sn nini tatizo? yani mkeo akifika hosptl akisumbua kidogo tu tayar wanakwambia sign hapa,KULIKONI?

Nilimpoteza rafiki yng mwaka jana pale Lugalo, Jesca daaa kama utani vile.RIP dada Recho na my best Jesca.

Mahospitali yanafanya akina mama wajawazito mitaji,sahivi utaambiwa una shida ambayo huna ili mradi ufanyiwe operation.hasa hasa private hospitals

Wiki chache zilizopita nikiwa na ujauzito week 38 dactari ananiambia eti "mbona tumbo lako ni dogo ukilinganisha na umri wa ujauzito,itabidi nikupime njia ili kama ni ndogo tujiandae kwa operation"
mmh nikabeba file langu huyooo sikurudi tena,nikaenda hosp nyingine nikajifungua kawaida na salama.
Operation ndo zinaingiza hela kuliko njia ya kawaida
 
bongo movie polenii maana yanaumiza kweli kuwapoteza wenzenu...RIP Rachel....
 
Back
Top Bottom