Huyu mama wa hawa marehem atakuwa katika hali mbaya. Jaribu kuwaza vijana wako ambao unategemea sasa ule matunda na wakutunze wanafariki nakukuacha, waweza kukufuru.
Lakini tukumbuke kuwa Sote ni wa Mungu tutarejea kwake na kila nafsi itaonja umauti ..Mungu ampe faraja Mama wa marehemu