TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

Inasikitisha sana. Lakini njia sahihi ni kumwangukia mumewe na kurudi kwake Shinyanga.
 
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara,DSM alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo,Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu🙏🏽
Source:millardayo.com
 
So sad jamani,kufiwa na mtoto kunauma mno
Hatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
 


Atleast wewe umeheal!me nna 19yrs toka twin afariki bado nna maumiv!sijui tu!msiba unauma sana
 
Pole sanda ndugu
 
Kweli mkuu,kifo kisikie kwa jirani,ila pindi unapompoteza mtu wako wa karibu ndo hapo utajua kuwa hii dunia haiko sawa
Hutaelewa kitu mpaka upoteze mtu wako wa karibu. Huyu mama imemkuta hivyo mara mbili.

Yaani sina cha kusema

Wale tunaotaka kufeed na kujiongezea umaarufu kupitia misiba na majanga ya wengine tuvute pumzi tutulie tuache lipite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…