TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

TANZIA: Muigizaji Seth Bosco (Mdogo wa Marehemu Kanumba) amefariki dunia Usiku wa kuamkia leo

Too sad,inasikitisha sana,mwenyezi mungu amweke mahali pema peponi,ameni.Naipa pole familia ya mama kanumba,maisha ndo yalivyo na kifo ni kwa kila binadamu,mbele yetu nyuma yake.Binadamu tunapaswa kuishi kwa amani na upendo,dunia haina urafiki na sisi.Daah too sad,pole sana mama yetu mungu akupe wepesi katika mtihani huu mgumu hapa duniani.
 
Hiiyo opp kwa tanzania lazima uwe kilema au ufariki,mana hakuna wataalam na vifaa madokta wetu wanafanyia miili ya wagonjwa mazoezi.nina rafiki alifanyia opp hiyo muhimbili yani ilikua balaa.
Ilibidi tuchange apelekwe nairobi ndio akapona bt maumivu anapata hadi leo.

Nairobi walisema mfumo uliharibiwa na madokta wa muhimbili walivuruga au kukata mshipa mungu ni mwema anatembea ila kwashida muda wote yuko kwenye gari
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
 
Pole sana mama Kanumba, duniani wote ni wapitaji, nilimuina Seth akihojiwa na Hoyce Temu alikuwa vizuri tu jamani, RIP Seth!
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara,DSM alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo,Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu[emoji1431]
Source:millardayo.com
 
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
Pole sana, Mungu akusaidie upone uondokane na hayo maumivu
 
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.
pole sana nakuombea mungu akupunguzie maumivu
 
Mimi nilifanyiwa evacuation toka nilipokuwa mpaka Nairobi. That was 2001, Dr. alisema kamwe hawawezi kunifanyia opp. Nilikuwa natembea kwa magoti ila steroid zikawa zinanisaidia. Hivi ninavyoongea bado naumwa na sasa na miaka inavyoenda ndo shida lakini hakuna Dr. anayetaka kufanya hivyo na mimi nimezoea maumivu yangu. Huwa nikipata nafuu nacheza tennis kuswing lumber lakini naishi na maumivu.


Pole sna sisy!
 
Mbona watoto wa. Huyo mama wanakufa vifo vya ajabu ? Hamna uchawi kwa huyo mama au familia ya huyo mama?
Alikuwa ana umwa siku as mwisho mwisho alizidiwa. Nilimpigia simu kumjulia huyu mama mwenyewe mama alisema ameshakata tamaa. Na ndio mwenyewe alikuwa anamuuguza kwa kila kitu. Kwa mzazi kufiwa na mtoto inauma unamkumbuka na mtoto wako wa mwanzo. Mungu ampe nguvu
 
Alikuwa ana umwa siku as mwisho mwisho alizidiwa. Nilimpigia simu kumjulia huyu mama mwenyewe mama alisema ameshakata tamaa. Na ndio mwenyewe alikuwa anamuuguza kwa kila kitu. Kwa mzazi kufiwa na mtoto inauma unamkumbuka na mtoto wako wa mwanzo. Mungu ampe nguvu


Hivi alipooza ghafla tu au ?
 
Alikuwa ana umwa siku as mwisho mwisho alizidiwa. Nilimpigia simu kumjulia huyu mama mwenyewe mama alisema ameshakata tamaa. Na ndio mwenyewe alikuwa anamuuguza kwa kila kitu. Kwa mzazi kufiwa na mtoto inauma unamkumbuka na mtoto wako wa mwanzo. Mungu ampe nguvu
Achana kujibizana na huyo mtu hawa ni wale wa Lumumba wanaoshinda wanaua Albino.
 
Aisee so sad! Kama haujawahi kufiwa Unaweza ona simple tu, omba yasikukute! Nilifiwa na mama yangu Aisee mpk leo ni Miaka 10 lakini haiwezi pita wiki sijalia kumkumbuka! Inauma Sana mungu ampe huyo mama Ujasiri tofauti na hapo Unaweza Ongea peke yako
 
Back
Top Bottom