tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Huyo ni mmoja wa wale wataalam wa jiwe wa gamboshiSina cha kukueleza
Ila wewe ni mpumbavu
Yaaan ni cheap wasted sperm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni mmoja wa wale wataalam wa jiwe wa gamboshiSina cha kukueleza
Ila wewe ni mpumbavu
Yaaan ni cheap wasted sperm
Spinal cord opp zake huwa ni utata. Unaambiwa unaweza ishi ukawa zezeta au ukawa huwezi kuongea au ukafia kwenye opp table. Watu tunatatizo la hivyo lakini madaktari wote wamesema opp will be the last resort halafu mtu anakuja na mambo ya uchawi????? Seth asingefanyiwa opp labda angeweza kuishi kwa matumaini labda kama alikuwa na maji kwenye uti wa mgongo. Mtu anayeamini uchawi ujue kwao ni wachawi tena waliokubuhu.
Acha ufara wewe.Inasikitisha sana. Lakini njia sahihi ni kumwangukia mumewe na kurudi kwake Shinyanga.
I can imagine kaka!Hatar mm huko kufiwa na mtoto sikukujui ila msiba karibu niliowah kuu experience ni wa mdogo etu wa mwisho ambay nimefuatana nae kuzaliwa, wakike.
Pale ndio nilipojua uchungu wa msiba aisee.
Yale maumivu yaliniandama kwa 2 years mpaka niliolpoomba msaada wa maombi kanisani ndio ikawa pona yangu.Hatar sana.
Kwema mkuu?Pumzika kwa amani shujaa, najua huoni wala husikii lolote tena umefunga kauli.
Nend Seth! Nenda baghosha! Kumkiri kwako Kristo kutakuweka sehemu salama Amen
Sure kama umewah kufiwa na mtu wa karibu, ni rahis ku feel ile burden mtu anakua amebebeshwa moyoni.I can imagine kaka!
Kuna mshkaji wangu alifiwa na mke wake. Mpaka hivi leo hajawahi kuoa tena. Alimpenda sana mkewe. Mpaka leo ameshindwa kusahau. He is lost!
Hakuna maisha baada ya kifo, akampe taarifa wapiRIP Seth mpe hai Kanumba mwambie toka alivyoondoka Bongo movie nayo ikasepa.
Mdogo wa Marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani kwa Mama Kanumba Kimara, DSM alipokuwa akiuguzwa kwa muda sasa baada ya kufanyiwa upasuaji kwenye uti wa mgongo.
Abela ambaye ni Dada wa Marehemu amethibitisha.
#RIPNduguYetu[emoji1431]
View attachment 1284271.
Taarifa zaidi zitatolewa baadaye.
Alipougua ghafla: Mdogo wake Kanumba apooza ghafla
Aiseeeee!una maana gani?Wanakufa vifo vya ajabu ajabu kweli shetani sio
Chizi huyo.Unaposema amwangukie mumewe unamaanisha nn?unamwangukia mwanadamu mwenzako?kwamba mume amekasirika!?khaa!
🙌🙌🙌🙌🙌🙌yaani kuna watu huwa wanamini kuna binadamu wamekaribiana Uungu Na Mungu!Chizi huyo.
dah niliona mahojiano yake huyo mama amekata tamaa ya maisha kabsaMama Kanumba anaweza kumkufuru Mungu lakini kwenye imani unamshukuru kukupa watoto na kuwa na nafasi ya kuwalea.
Anapitia kipindi kigumu sana, na wote hawajaacha hata watoto.dah niliona mahojiano yake huyo mama amekata tamaa ya maisha kabsa
Unamaanisha kwamba ipo haja ya kuzaa mapema sindio?Anapitia kipindi kigumu sana, na wote hawajaacha hata watoto.
Hili la kutoachiwa wajukuu nadhan linaumiza zaid,labda wangekuwepo angefarijika japo kidogo. Bt all in all ni mipango ya Mungu iwe hvyoAnapitia kipindi kigumu sana, na wote hawajaacha hata watoto.