Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,968
- 8,139
Daaahhhh....!! Aisee life is so cruel. Damn..!!Yes, he has passed away last night, kesho nitajua nini kimemuua brother na nitawaambia ni wapi pia atapumzishwa kwenye makao yake ya milele...
Ahsante brother. Yaani i am speechless.Pole sana Dr.
Daaahhhh....!! Aisee life is so cruel. Damn..!!
Please, naomba sana usiache kunipatia hizo updates brother. I am so shocked. He was full of life.
Yes, najua aliumwa a few weeks back hadi kulazwa, but he recovered fully.Hakika I was shocked nilipata taarifa usiku wa saa 6, we have been close sana kuna kipindi alikuwa anaumwa aka recover fresh akawa anaendelea na majukumu hata jioni yake naskia alikuwa vizuri tu.
Lets wait for PM results doc!
Nimeshindwa kujua lengo la huyu jamaa.
[emoji26]Duuuhhhhh....!!!! Whaaatttt!!?? Aisee, I knew this guy personally nilifahamiana nae hapa hapa JF na tukawa karibu, na nimewasiliana nae hadi juzi hapa, yaani hapa naangalia message zake za WhatsApp tulizokua tunachat nae juzi tu hapa (tarehe 10).
Damn this life is so short...!!!!
Rest in eternal peace brother!!
Kaka naomba tuwasiliane, nicheki PM; Nimejaribu kukucheki PM naona umefunga PM.Hakika I was shocked nilipata taarifa usiku wa saa 6, we have been close sana kuna kipindi alikuwa anaumwa aka recover fresh akawa anaendelea na majukumu hata jioni yake naskia alikuwa vizuri tu.
Lets wait for PM results doc!
Dah..dah..dah...Mungu wangu[emoji3064][emoji3064][emoji24][emoji24][emoji24]Kaka naomba tuwasiliane, nicheki PM; Nimejaribu kukucheki PM naona umefunga PM.
Huwezi kuamini marehemu alikua amefanya interview hapa ninapofanya kazi (nilikua mmoja wa referrees wake kweny Cv yake); Na asubuhi hii HR wetu ananiambia kuwa jana amemtafuta the whole day kumpatia offer. Kumbe ameshaitwa kwa Mungu baba..... Daaahhhhhh!! Huyu jamaa amenitoa machozi. Naomba tuwasiliane kaka, please.
Gallius
Mkuu pole sana ..hiyo nafasi hawawezi kupata wengine?Kaka naomba tuwasiliane, nicheki PM; Nimejaribu kukucheki PM naona umefunga PM.
Huwezi kuamini marehemu alikua amefanya interview hapa ninapofanya kazi (nilikua mmoja wa referrees wake kweny Cv yake); Na asubuhi hii HR wetu ananiambia kuwa jana amemtafuta the whole day kumpatia offer. Kumbe ameshaitwa kwa Mungu baba..... Daaahhhhhh!! Huyu jamaa amenitoa machozi. Naomba tuwasiliane kaka, please.
Gallius