TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Mungu atujaalie Mwisho mwema, may his Soul rest in Eternal Peace🙏
 
Dah!

Kifo ni fumbo moja kubwa sana...

reposar en paz
 
MUNGU awatie nguvu ya kuhimili hilo wale wote wa karibu yake walioguswa na msiba.
 
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
moyo wangu unabubujika machozi,eh Mungu turehemu.
 
R.i.p
Na mara ya mwisho kuonekana ni jana daah. Kifo ni fumbo kubwa hata hakujua ndio final day yake.
 
Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.

Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.

Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu

Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Pumzika Kwa Amani Ndugu Yetu...
Inaumiza..
Tu mavumbi na mavumbini tutarudi
 
Back
Top Bottom