Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inna Lillah wa Inna iLayhi RajiounMungu amfanyie njia iliyo njema. May his soul rest in peace.
usiwe na mtazamo hasi.Pengo lipi? Acha unafiki
Mungu atujaalie Mwisho mwema, may his Soul rest in Eternal Peace🙏Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
moyo wangu unabubujika machozi,eh Mungu turehemu.Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Pumzika Kwa Amani Ndugu Yetu...Usiku wa leo nilipokea taarifa za kusikitisha kuhusu mwanachama ip_mob amefariki dunia.
Kwa ufupi ni kwamba alikutwa amefariki akiwa nyumbani kwake alipopanga, tumuombe pumziko la milele huko alik, Amina.
Habari hii ni kwa mujibu wa Gallius ambaye alikuwa mtu wake wa karibu
Kama kuna update yoyote tutajulishana hapahapa
Very true kuna jamaa yangu wa karibu nae kafia usingizini one week ago.Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Huyu Mtu wa nne kusikia wanafia usingizini kwa mwezi huu.