TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

TANZIA Tanzia: Mwana JF mwenzetu ip_mob afariki dunia

[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Original Post naona nani katembelea uzi na muda gani!
Was there

"Jana tulikuwa naye kwenye mada hii ..." Akili yangu iliwaza labda mlifanya conversation kwenye huo uzi.

Nimekupata.

Ampe hi Jiwe, amwambie corona umekuwa wimbo wa taifa now.
 
My God jana tu tulikua nae kwenye mada hii..
Mungu amjalie pumziko jema la milele, Death doesn't come to the wicked and leave the Innocent behind [emoji3064] [emoji3064] [emoji3064]
Una maana aliyefariki ni Lucas Mobutu?siku hizi kuna IDs zinabadilishwa ila content zao zinakuwa zile zile na huyu mwenye id hii ni muda sijakutana naye humu.

Link uliyo-copy hapa ina post ya Lucas ndo maana nimekuuliza!
 
Una maana aliyefariki ni Lucas Mobutu?siku hizi kuna IDs zinabadilishwa ila content zao zinakuwa zile zile na huyu mwenye id hii ni muda sijakutana naye humu.

Link uliyo-copy hapa ina post ya Lucas ndo maana nimekuuliza!
Hapana sio yeye, itakua link nilivyokopi inadirect kwenye comment ya LM.
 
Leo yeye, kesho sisi.. Tuishi vema, tujitahidi kutenda mema ndugu zangu, hatujui siki wala saa.
 
M/Mungu ampumzishe kwa amani.

Foleni inaenda kasi sana wadau, tujihadhari na matendo yetu. Nawaza tu kuwa kuna siku nasi watu watakuwa wanasoma taarifa zetu km hivi na ni hali ya kibinadamu tu kutaka kujua uliwahi kuongea nini humu kwa kufukua nyuzi na michango yako kidogo; itakuaje ikiwa watu watakuwa tu wanasoma matusi uliyotukanana na member mwenzio?!!
 
My God jana tu tulikua nae kwenye mada hii..
Mungu amjalie pumziko jema la milele, Death doesn't come to the wicked and leave the Innocent behind 🥺 🥺 🥺
Daa kifo hakipigi hodi
 
Back
Top Bottom