Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,164
Ndiyo ni kipindi cha JK mkuu.
Vipi yule mwanahabari mwingine Halima Kihemba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo ni kipindi cha JK mkuu.
nimeipenda sana hii....wateule wengi wa rais wanapewa nafasi ngumu za uongozi wakiwa wamechoka, mfano mwanajeshi kastaafu miaka 65 anapewa ukuu wa mkoa wakati kajichokea, hawezi kwenda na kasi iliyopo.. akisikia tu Majariwa anakuja..BP juuJamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Hukumsikia mkuu wa mkoa akisema sababu ni kazi nyingi, na harakati za kuandaa wiki ya maji zimechangia kuongeza wingi wa majukumu kwake? Mpaka presha imepanda lazima mwili umechoka kwa umri wake kuna kiasi cha majukumu, unaelewa sababu ya kustaafu? Au unafikiri ni kupisha tu mtu mwingine kwenye nafasi yako? Wewe ndio um ewaza kitoto.
Wote pamoja ila wa mwanzo kabisa ni marehemu Sara.Yeah...ila nilifikiri ni Deborah Mwenda
kweli ndio alikuwa na miaka 60 kamiliJamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Msimuliaji alikuwa Deborah MwendaHivi Ile hadithi ya adili na nduguze ni yeye pia ndio alisimulia sio, na Ile ya chura binti mfalme je
OK thanks, kitambo sanaMsimuliaji alikuwa Deborah Mwenda