TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

HAHHAHHAHA.mkuu nakumbuk mwaka92 naanza la.kwanza huyu.mama ni mtangazaji mtu mzima sio kabinti sasa leo karibu miaka30 bado kweeeli yupo kazini

Una point kwa kweli... Fikiria leo hii Anna Abdallah bado ni mwenyekiti wa bodi ya Korosho.
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .

Kweli kabisa mkuu ni kitambo sana huyu mama alitakiwa awe amestafu kupumzisha mwili aisee
 
Rip. Kweli jf nimeivulia kofia, niko njombe, lakini taarifa naipata jf within a minute.
Mama alikuwa mpole sana, msikivu,asiye na makuu, na mkweli kupita kiasi,asiye mwoga, yaaani anakupa makavu live no kupindisha maneno,very social,mtu wa kujichanganya
Upo njombe sehemu gani?
 
Dah nimesikitika huyu mama ni kama yangu tulizoeana sababu mwanaye Edwin mwakyembe ni rafiki yangu mkubwa. Nakumbuka nilikua nikienda kwao alipenda sana urafiki wangu na mwanaye. Ningekua tz hakika nisingekosa msiba wake. Mungu mlaze pema peponi na uwatie nguvu wanae
 
Pumzika kwa amani Bi Mkubwa,duh alinichukua alipoteuliwa kuiongoza wilaya ya Kilindi nilijifumza mengi toka kwake upole na ucheshi duh tumbo la ardhi limemeza wengi.
InshaAlla Mungu akupe kauli thabiti uko uendako pole sana mwanangu Sunday na Henry.
Hivi Sunday yuko wapi siku hizi?
 
HAHHAHHAHA.mkuu nakumbuk mwaka92 naanza la.kwanza huyu.mama ni mtangazaji mtu mzima sio kabinti sasa leo karibu miaka30 bado kweeeli yupo kazini
Wewe ukiwa na miaka minane basi mtu mwenye miaka 30 unamuona mtu mzima sana kumbe bado kijana. So miaka 30 later anaweza akawa na miaka 60. Anyway hata kama alizidi 60 kumbuka ukuu was wilaya ni nafasi ya uteuzi ya kisiasa sio ajira ya kuomba ambayo unatakiwa kustaafu ufikapo 60. So usishangae nafasi ya uteuzi ya kisiasa mtu akawa mzee pengine rais alihitaji uzoefu na hekima zake ndo mana AKAMTEUA
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .

NImeipenda point yako Mkuu. Wala simwongelei sana huyu Marehemu kwa vile hata sijui umri wake. Lakini watu wanapofikia umri wa kustaafu basi wapumzike. Haya mambo ya kukimbizana na fedha hayana mwisho. Walioweka umri wa kustaafu walilenga watu wanapofika umri wa miaka 60 wapumzike na mihemuko ya maofisini na presha za kazi ili waishi maisha marefu zaidi.....
 
Hizi presha said kuukosa u DC an speed ya hapakazi tu watauwa ...wengi ...Juzi Moshi kuna mkuu wa wilaya kajiangusha makusudi kwenye Maji akaikagua mfreji

Kuna Lucy Mahenga yeyo hajataka presha kwakuwa anajua aliingia kwa pitchu .......kaandika kabisa Barua ha kuomba asifikiriwe
 
Wakuu,alikuwa anaendesha kipindi cha mama na mwana ni Deborah Mwenda, na sio Sarah Dumba.
 
Pia nakumbuka ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza kutangaza mpira kutoka uwanjani uhuru(enzi hizo Taifa).
Mechi yenyewe siikumbuki.
 
Back
Top Bottom