Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Hivi Ile hadithi ya adili na nduguze ni yeye pia ndio alisimulia sio, na Ile ya chura binti mfalme jeNikumbushe hadithi moja nione kama ulikuwepo....usije na ua jekundu au akajasembamba maana hizo ni za majuzi tu
mtu akishafariki anaandikwa aliyekuwa.....huwezi kuwa mkuu wilaya wakati umekufa" Aliyekuwa". Wakuu sina habari, hivi alishaondolewa kwenye ukuu wa wilaya!?
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.
Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
Hakuwa kwenye mama na mwana. Rip Sara DumbaPoleni wafiwa. Namkumbuka kipindi cha mama na mwana RTD.
Umenena pwenti tamu sana.Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
People are under a lot of stress.r.i.p,alikuwa na hofu ya kutumbuliwa nini?maana kuna yule d.e.d wa halmashauri ya wilaya ya maswa nae aliaga dunia karibu kwa mtindo huu huu!
dah,basi mama apumzike anapo stahiliPeople are under a lot of stress.