TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

JK aliwakumbuka sana waandishi wa habari! lakini wanayomlipa mmh!
Marehemmu, Salla Dumba, Ahmed Kipozi, Bety Mkwasa, Shabani Kisu, na kuna mwingine nimemsahau mwenyeji wa maeneo ya Masasi kule Mtwara. Inawzekana wapo wengine ambao nimewasahau.
 
Huo ni uvivu wako tu ktk kufikiri!
Kwani umri wa kustaafu ni upi?
She was strong na alikuwa akipambana ktk maisha bila ya shida!
She was less than 70, na wengi ktk umri huo huomba wawe na activities ziwafanye waishi! Ukistaafu Bongo na kukaa home utakufa mapema zaidi!
Kweli kabisa mkuu, alafu wapo wanaohangaika kwenye shuguri zao, na huwa wanawaza zana jinsi ya kufanikiisha shuhuri zao, hususani wafanya biashara..
 
RIP mama Sarah Dumba.

Ninamkumbuka sana huyu mama kwa utangazaji wake mahiri, enzi hizo alipokuwa RTD.
 
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.

Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena

RIP Bi. Sarah Dumba, Mungu amekupenda zaidi.
Poleni Wafiwa na Wote Tulioguswa na Msiba huu.
 
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.

Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
RIP Dada Sarah Dumba.

Pasco
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .

Watu wengine mna roho ngumu sana!!! Hapa members wanazungumza nini na wewe unatumbukiza nini - kwani uwezi kusubiri msiba ukaisha kwanza kabla ya kuandika maoni/malalamiko/kero zako.??

RIP Sarah Dumba.
 
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.

Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
RIP Mama Sarah Dumba.
 
Marehemmu, Salla Dumba, Ahmed Kipozi, Bety Mkwasa, Shabani Kisu, na kuna mwingine nimemsahau mwenyeji wa maeneo ya Masasi kule Mtwara. Inawzekana wapo wengine ambao nimewasahau.
Sallah= Sarah
 
Aiseee namkumbuka sana nikiwa halmashauri ya wilaya ya Kilindi, mungu amlaze pahala pema
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Una uhakika kua amegota miaka 60?inawezekana wakati wewe upo shule yeye ana miaka 21,acha kashfa kwenye kifo,hata wewe unaweza kupata presha ukiwa kwenye kiti chako hapo ukaanguka ukafa na umri wako wa miaka 30
 
Back
Top Bottom