McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,386
- 7,558
Pumzika kwa amani Bi Mkubwa,duh alinichukua alipoteuliwa kuiongoza wilaya ya Kilindi nilijifumza mengi toka kwake upole na ucheshi duh tumbo la ardhi limemeza wengi.
InshaAlla Mungu akupe kauli thabiti uko uendako pole sana mwanangu Sunday na Henry.
InshaAlla Mungu akupe kauli thabiti uko uendako pole sana mwanangu Sunday na Henry.