TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

TANZIA: Mwanahabari mkongwe, Bi Sarah Dumba afariki dunia ghafla akiwa Njombe

Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .

Una maana gani kusema vifo vya kujitakia? Msiba ni issue nyingine siyo jambo la kuleta utoto.
 
Akizungumza na Eatv, mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi amethibitisha kutokea kwa msiba huo, na kueleza kuwa marehemu Sarah amefariki majira ya saa moja jioni katika hospitali ya Kibena mjini Njombe ambapo alipelekwa kwa ajili ya uangalizi wa kiafya.

Dkt Nchimbi amesema kuwa, haijafahamika nini kilichosababisha kifo hicho, lakini huenda ikawa ni "Mshituko" maana leo asubuhi aliwasili ofisini kama kawaida, na kuendelea na shughuli zake akiwa hana tatizo.

Ameendelea kueleza kuwa, akiwa ofisini kwake, alianza kusema kuwa anajisikia vibaya, na kuamua kugawa majukumu yake kwa watendaji wengine, lakini hali yake ilizidi kutia mashaka na ndipo akapelekwa hospitali.

Dkt Nchimbi amesema, akiwa hospitali hali ilibadilika ndani ya muda mfupi na kuanza kutapika, na ilipofika majira ya saa moja alifariki dunia.

"Nadhani inaweza kuwa ni tension maana tupo kwenye maandalizi ya kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji, na yeye amekuwa akishughulika sana na maandalizi hayo ambayo kilele chake ni kesho, sasa leo amefika ofisini kama kawaida, lakini baadaye akasema hajisikii vizuri, baadhi ya kazi akatuma watu, baadaye alikwenda hospitali, lakini muda mfupi baada ya kufika hali ikabadilika, akatapika sana na hapo ndipo alipopoteza maisha" Amesema Dkt Nchimbi.

Mkuu huyo wa mkoa amesema mipango ya maziko itatangazwa baadaye kesho, lakini kwa taarifa za awali alizonazo ni kwamba huenda akapelekwa nyumbani kwao ambapo ni Dar es salaam, ingawa kuna taarifa nyingine zi adai kuwa nyumbank kwao ni Morogoro.

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu Sarah Dumba. Amin
 
R.I.P Sarah Dumba

mtu akipatwa na umauti usilete dhihaka zako za kutafuta kazi na ziro yako ya shule ya kata kiazi wewe
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
 
Akizungumza na Eatv, mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi amethibitisha kutokea kwa msiba huo, na kueleza kuwa marehemu Sarah amefariki majira ya saa moja jioni katika hospitali ya Kibena mjini Njombe ambapo alipelekwa kwa ajili ya uangalizi wa kiafya.

Dkt Nchimbi amesema kuwa, haijafahamika nini kilichosababisha kifo hicho, lakini huenda ikawa ni "Mshituko" maana leo asubuhi aliwasili ofisini kama kawaida, na kuendelea na shughuli zake akiwa hana tatizo.

Ameendelea kueleza kuwa, akiwa ofisini kwake, alianza kusema kuwa anajisikia vibaya, na kuamua kugawa majukumu yake kwa watendaji wengine, lakini hali yake ilizidi kutia mashaka na ndipo akapelekwa hospitali.

Dkt Nchimbi amesema, akiwa hospitali hali ilibadilika ndani ya muda mfupi na kuanza kutapika, na ilipofika majira ya saa moja alifariki dunia.

"Nadhani inaweza kuwa ni tension maana tupo kwenye maandalizi ya kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji, na yeye amekuwa akishughulika sana na maandalizi hayo ambayo kilele chake ni kesho, sasa leo amefika ofisini kama kawaida, lakini baadaye akasema hajisikii vizuri, baadhi ya kazi akatuma watu, baadaye alikwenda hospitali, lakini muda mfupi baada ya kufika hali ikabadilika, akatapika sana na hapo ndipo alipopoteza maisha" Amesema Dkt Nchimbi.

Mkuu huyo wa mkoa amesema mipango ya maziko itatangazwa baadaye kesho, lakini kwa taarifa za awali alizonazo ni kwamba huenda akapelekwa nyumbani kwao ambapo ni Dar es salaam, ingawa kuna taarifa nyingine zi adai kuwa nyumbank kwao ni Morogoro.

Mungu ailaze mahali pema roho ya marehemu Sarah Dumba. Amin
Kuna umri unatakiwa hawa wazee wakae nyumbani tu, la sivyo matoke yake ndio haya majukumu mwngi presha juu na mtu from nowhere anakufa
Rip mama wa Rtd
 
ALIYEKUWA mkuu wa wilaya ya Njombe na mwanahabari mkongwe Bi Sarah Dumba amefariki dunia ghafla akiwa wilayani Njombe mkoa wa Njombe.

Mkuu huyu wa Wilaya amefariki usiku huu kwa Presha na mwili wake umehifadhiwa Hospitali ya Wilaya ya Njombe, Kibena
rip
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Hata mkuu wa mkoa keshasema sababu ni majukumu mengi, kesho wiki ya maji mama kji overdose kazi, huku woga wa kutumbuliwa pia
 
RIP Bi Sarah Dumba
wanaomjua tujazieni na wasifu wake kifamilia
kwanini bado aliitwa Bi sara Dumba ?
ana watoto wangapi
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
Ana watoto wanne na wajukuu 3
 
hata kama alikuwa mwanaccm , tunamuomba Mwenyezi Mungu aiweke roho yake mahali inapostahili .


Lumumba wangekuwa na hofu juu ya kifo, wasingelikuwa wanafki na waroho wa madaraka kiasi hiki tunavyowaona. Angalau wangelikuwa wakweli kwa nafsi zao
 
Rip. Kweli jf nimeivulia kofia, niko njombe, lakini taarifa naipata jf within a minute.
Mama alikuwa mpole sana, msikivu,asiye na makuu, na mkweli kupita kiasi,asiye mwoga, yaaani anakupa makavu live no kupindisha maneno,very social,mtu wa kujichanganya
 
Hata mkuu wa mkoa keshasema sababu ni majukumu mengi, kesho wiki ya maji mama kji overdose kazi, huku woga wa kutumbuliwa pia
Mama alikuwa anapiga kazi sana sanaaaa,sio rahisi kukumta ofisini, au kukaa kwenye kikao kimoja mpaka kiishe,akishatekeleza jukumu lake kwenye kikao alikua anaenda kwenye majukumu mengine, na hata gari aliyokuwa anatumia ni landcruser old model roho ya paka sababu alikuwa ni mchanja vijiji kwa vijiji. Huyu alikuwa ni hapa kazi ru hata kabla ya magufuli
 
Mama alikuwa anapiga kazi sana sanaaaa,sio rahisi kukumta ofisini, au kukaa kwenye kikao kimoja mpaka kiishe,akishatekeleza jukumu lake kwenye kikao alikua anaenda kwenye majukumu mengine, na hata gari aliyokuwa anatumia ni landcruser old model roho ya paka sababu alikuwa ni mchanja vijiji kwa vijiji. Huyu alikuwa ni hapa kazi ru hata kabla ya magufuli
Vizuri havidumu
 
Nenda Mama yetu SARAH afadhari umemukimbia Diteta Shein na wizi wake wa kura Zanzibar.Watu wenye mioyo safi wanaona kinyaa kuendelea na maisha ya CCM.Nenda Sarah NENDA.
 
Jamani kuna umuhimu wa kuheshimu umri wa kustaafu na kukubali kupumzika, vifo vingine vya kujitakia hivi, tangu nimemsika redioni sijaanza shule leo na mimi nafanya kazi nae yumo tu? Hizi presha zingine nazo ni mwili kuchoka kutokana na umri kushindwa kutimiza wajibu, ajabu kwetu wastaafu ndio wana ajiriwa upya! R.I.P .
Huo ni uvivu wako tu ktk kufikiri!
Kwani umri wa kustaafu ni upi?
She was strong na alikuwa akipambana ktk maisha bila ya shida!
She was less than 70, na wengi ktk umri huo huomba wawe na activities ziwafanye waishi! Ukistaafu Bongo na kukaa home utakufa mapema zaidi!
 
Back
Top Bottom