Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

Mwanamuziki wa kizazi kipya almaarufu kama Geez Mabovu ameaga dunia. Geez alitamba na mtindo wa hiphop. Amefariki mkoani Iringa baada ya kuugua kwa muda.

Chanzo: EA Radio

Msaada please,

Naomba link ya Ku download wimbo wake wa PARTY FULANI Kama unaweza kaka!!
 

Samahani mkuu..
Battle ryhms ndo nan.?
 
Hata mi sijaelewa naona na king kong 3 karudia.

Amani kwa kaka voda milionea,waambie wanao waache poda wale mmea_Jay moe :Jipange.

Amani kwa kaka milionea,mwambie mdogo wako aache ushoga na umbea_Langa kileo

Amani kwa voda milionea mwambie moe nimeacha poda na wala sili mmea_langa baada ya kuacha drugs


Ushamjua kaka voda milionea?
 
Watoto wa Iringwa wanamwita Hemed Pengo!da!R.I.P bro!geeeeez mabovu. Usiponipa changu siimbi.......madogo wana lalamika kaka sa!ngapi tutapika.da!jamaa alikiwa anaweza bana
 
hivi kipindi kile anaprint t shirt za king'oko ilikuwa ni zuga au alikuwa hajaanza ku piush madudez, halfu mbona hata mtoto wa mkuu kaya na yeye anahusishwa ku deal sembe kule mitaa ya king'oko?

si ndo walewale hao na mtoto wa mkulu lao moja
 
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1415864414.802929.jpg
    60 KB · Views: 674
Duuuu RIP MABOVU nilipenda ulivyochana mistari,,eee vipi nae ni kifua kilikua kinamsumbuaaa
 
Mabovu the Geeee, nyota ishazimika kama mshumaa! Hip-Hop comunity bongo inazidi kupoteza miamba. Hawa nao wasipochange life style mapema before it's too late, then tukae mkao wa kuandika 'R.I.P' kama kawa: Chid Benz, Daz Baba, Jose Mtambo, Mandojo, Babuu wa Kitaa, Lord Eyez, n.k.

Bora King'oko ilivyokufa, japo bado movements zake zinaendelea underground, vijana kino wanapukutika sana kwa 'sembe'!
Huwa nampa heko sana mkongwe Jay Mo, long time kwenye game na bado hajagusa poda, yeye na 'mmea/nyasi' tu.
 
Duuuu RIP MABOVU nilipenda ulivyochana mistari,,eee vipi nae ni kifua kilikua kinamsumbuaaa

whatever the cause of his death might be, but the root source ya kifo chake ni Drugs Use (poda).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…