Lady Ra
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 879
- 991
Mwanamuziki wa kizazi kipya almaarufu kama Geez Mabovu ameaga dunia. Geez alitamba na mtindo wa hiphop. Amefariki mkoani Iringa baada ya kuugua kwa muda.
Chanzo: EA Radio
Msaada please,
Naomba link ya Ku download wimbo wake wa PARTY FULANI Kama unaweza kaka!!