Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DaaAH mwanangu sana Geez rip kaka
Simjui!!!!!
Maana hilo jina sijawahi ata lisikia.
~Kaka Voda milionea unawamaliza machizi,wastue wadogo zako waache poda wale mmea.
~King'oko imepotea bora ulivyofungua car wash.
Samahani mkuu kende, huyu kaka voda milionea ndio nani!
Dude nae kafa? Dah noma sana nae ni viroba au bangi?
Samahani mkuu kende, huyu kaka voda milionea ndio nani!
Hata mi sijaelewa naona na king kong 3 karudia.
Kaka voda milionea ni drug dila pande za mikocheni(kin'goko)...nina info zake nyingi ila naogopa kupelekwa mabwe pnde
Dah kwenye hii ngoma alitambaa kigangwe sana,p.k.a Geez.Nakumbuka nilipotoka dirty south Iringa/
Sikuja kwa bus town, bali na ndinga/
Full maujanja, sikuzijua shida/..
R.I.P Mabovu.
R.I.P mkuu mabovu ....upumzike kwa amani.
Angali huu uzi nadhani ameezewa kwa kirefu
Beef Zilizowahi kutikisa tasnia ya Bongo Fleva
Iko wp mkuu?
~Kaka Voda milionea unawamaliza machizi,wastue wadogo zako waache poda wale mmea.
~King'oko imepotea bora ulivyofungua car wash.