kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
Halafu mabovu na babuu wa kitaa kama wamefanana hivi!!
yes wanafanana sura hadi interest;
-wote wanafanya hiphop
-wote walikuwa king'oko
-wote wala poda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mabovu na babuu wa kitaa kama wamefanana hivi!!
mi nilikua najua walishirikiana kwenye kutafuta jina la king'oko na miiiiiirrrra....jay
mkuu uyo dogo anaweza sana, sema tu media inambania. Malle wa MECKO SOUTH, ana sauti ya zege ya ki-hiphop. Kuna pini zake mbili ambazo huwa lazima nizisikilize getho kila usiku ninaporudi kutoka mishe: 'Kawaambie Madogo' (ft. Nash Mc), na ''Jina La Mwandishi - M.A.L.E'' (hasa ile remix yake). Ameshaandika kitabu kinaitwa ''Chuo Kikuu Cha HipHop'', dogo anajitahidi sana kuendeleza harakati za hip hop.
hawa masela wakijaga town wanaishia kwenye ma group ya ovyo..wanataka kuwa wajanja kuliko wazawa..kuiga sana unyamwezini sio ujanja..ila ngoma zake za dakika sifuri na mtoto wa kiume ni soo...R.I.P
Hivi hawa wasanii wanaotumia ngada huwa hawajiulizi kwanini KALAPINA pamoja na uhuni wake wote alioufanya but still hatumii hizo mambo?
Mkuu mbona unawasema wakuja wakat we mwenyewe umeiga jina la Marehem aliyekufa na UKIMWI huko L.A Compton?
wadandia treni tu hao..
Jamani kina easy e si tunaomboleza hapa,why mnatukanana?
Tatizo la figs limetokana na nini? Acha ubishi wa kijinga mteja wa unga anaonekana vizuri tu, viroba yule walaa, Arusha alipoamia tena akawa mshkaji na pusha wa Poda unategemea nini? Acha kubishabisha tu.
Juzi kuna mada ya unga tulikua tunajadili humu na kuna member alisema geez bovu alikua anapiga viroba bila kula hadi figo zikafeli.
Leo kafariki.
Nyimbo zake zitaanza kupigwa Leo usiku
RIP Mbele yako nyuma yetu
du!,sonso jingine hili.ngoma si yako unaivalia shanga,haya anza kukatika nikuone!....bweg.e wewe