MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,267
Lala salama Denis. Mungu atakufufua siku ya mwisho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh mbona matukio ya gas kuua yanaongezeka, jana pia imeua mtoto ngorongoro, poleni wafiwaHabari zilizonifikia hivi punde na kuthibitishwa na chanzo huru kinataarifu msanii John Walker ameagaa dunia leo alfajiri akiwa hospitali ya Muhimbili alikofikisha kupatiwa matibabu.
Walker alilipukiwa na gesi jana (iliripotiwa hapa JF pia)
Msanii huyu alitamba na staili yake ya mziki akiimba kama mlevi.
Mungu ampumzishe kwa amani.