Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Habari mbaya kwa wapenzi wa country musics ni kwamba yule mkongwe wa nyimbo hizo ajulikanaye kama Don Williams amefariki Dunia. Don amefariki baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Allifanya kazi yake vizuri na aliyaishi vizuri maisha yake na kuacha hazina kubwa sana.
We will always miss you Don Williams, then, now and till the river is all run dry.
Pumzika Don Williams the Gentle Giant
Allifanya kazi yake vizuri na aliyaishi vizuri maisha yake na kuacha hazina kubwa sana.
We will always miss you Don Williams, then, now and till the river is all run dry.
Pumzika Don Williams the Gentle Giant