ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
sawa mkuuAm sorry mkuu,
Hakuna mtu yeyote anayeweza kunifanya niiamini hii taarifa zaidi ya Muhusika mwenyewe Heaven Sent ,
Aameen.My deepest sympathy to 'Heaven Sent' and her family. May her father's soul rest in peace. Time will heal the scar left by life. We pray for the family to be strong.
Pole sana HS...
Naamini wewe ni strong woman... Jikaze hata katika hili mama.
Bwana ametoa na Bwana ametwa jina lake libarikiwe...
wambeke muafaka wa rambirambi ukipatikana tustuane pls.
SEnd OffShughuli gani hiyo?