TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.
Poleni sana wafiwa,Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
 
OMG!!

Pole sana my neighbour Heaven Sent

Mungu akupe moyo wa uvumilivu na subira katika kipindi hiki kigumu sana kwako.

Tunamwomba Mungu ampumzishe mahali pema peponi mzazi wetu.

Raha ya milele umpe Ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani.

Amen!!
 
Back
Top Bottom