TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

TANZIA: Mwenzetu Heaven Sent kafiwa na baba yake mzazi mchana wa leo

oohhhh mzaa chema wetu maskini!!!!!

I don't even know you mbali na kukutana nawe kwenye threads lakini moyo umeniuma machozi yamenitoka!

POLE SANA my dear sister Heaven Sent 🙁 🙁

May you be granted the strength, comfort and peace that you need in these difficult times.
Our thoughts are with you.

May our father Rest in Peace.
 
Wanajamvi.

Kwa Masikitiko makubwa napenda kuwaataarifu Member mwenzetu Heaven Sent kafiwa na Baba ake Mzazi leo hii.

Kwa Mujibu wa Heaven anasema mzazi wake ameamka salama akiwa anajiandaa kwenda kazini alijiskia vibaya akasema acha apumzike kidogo ataenda baadae.

Gafla hali yake ikabadirika ikabidi akimbizwe Hospitalini Madktari walivyompima wakasema Presha iko juu.

Wakiwa wanaendelea kumpatia huduma hali ilizidi kuwa mbaya zaidi
hatimae Mzee akakata roho.

Raha Ya Milele Umpe Eeh Bwana, Na Mwanga Wa Ulimwengu Umwangazie, Apumzike Kwa Amani. Amen.
RIP BABA waHeaven sent
 
Pole sana Heaven Sent! Mungu Akupe nguvu, faraja na amani katika kipindi hiki kigumu. Ampumzishe mpendwa mzazi wako kwa Amani!
 
Back
Top Bottom