Goma tu mkuu, kwani ukionekana mshamba unapungua nnMi huko mbudya hufika had kwa boti then roho yangu hugoma, vile nilishajifunza kufata roho narudi.
Mimi kweli niwaponde wanaume wangu wa Dar mlivyo na roho nzuri hivyo?Mnatusema sana wanaume wa dar mpaka tumeama nchi.. Na wewe so mmoja wa kutuponda
Basi hongera nimefarijikaMimi kweli niwaponde wanaume wangu wa Dar mlivyo na roho nzuri hivyo?
hahahahah, hii haina cha kujizuia nadhani.Siku ikikushika uchukue video 😀😀😀[emoji1] [emoji1] [emoji1] wewe kunikaza ni ngumu mana najiepusha mno tangia nimekuwa mkubwa sijawahi experience hyo hali ndo mana I was curious
AsanteBasi hongera nimefarijika
Asante kwa huu ufafanuzi murua nimeelewa Mpaka basi.Yani hapo kwenye joint ya mguu na paja kuna muscle inajikunja mguu huwezi nyoosha ukiforce unachana msuli unaweza kuwa kilema sasa panic kama hiyo ndani ya maji lazima unywe vikombe na ubongo ukiona hauelewi what's happening ndo unaenda shut down ili kukoserve remaining Oxgen but ndo hivyo tena mtu anakufa akiwa amezimia..
Darsa zuri nimepata hapaYani hapo kwenye joint ya mguu na paja kuna muscle inajikunja mguu huwezi nyoosha ukiforce unachana msuli unaweza kuwa kilema sasa panic kama hiyo ndani ya maji lazima unywe vikombe na ubongo ukiona hauelewi what's happening ndo unaenda shut down ili kukoserve remaining Oxgen but ndo hivyo tena mtu anakufa akiwa amezimia..
I think hata mikono misuli inaweza kukaza ila Mara nyingi miguuni sasa imagine ni mkono umekaza au kutenguka unaanzaje ogeleaAsante kwa huu ufafanuzi murua nimeelewa Mpaka basi.
Bora niwe tu mshamba huko siruki ndo nimeghairi kabisaGoma tu mkuu, kwani ukionekana mshamba unapungua nn
Maji unayajua au unayasikia tu.OMG alikuwa ametumia kilevi?
Naomba isinikute na ikinikuta nafanyaje sasa kujitibu miehahahahah, hii haina cha kujizuia nadhani.Siku ikikushika uchukue video 😀😀😀
Mzee baba wataalamu wa kuogelea wanaweza kuigelea kwa kuflip miguu tu bila mikono na hawazami.I think hata mikono misuli inaweza kukaza ila Mara nyingi miguuni sasa imagine ni mkono umekaza au kutenguka unaanzaje ogelea
Utajua ikikutokea, ni kama ambavyo hatufundishwi kupumua.Naomba isinikute na ikinikuta nafanyaje sasa kujitibu mie
Hyo hali ni shida inatisha unakufa huku unajiona sijui unajifanyiaje huduma ya kwanza. Mi. Maji nayaogopa tangia nione MV Nyerere watu wafe karibu na nchi kavu nimekuwa muoga Mara dufuI think hata mikono misuli inaweza kukaza ila Mara nyingi miguuni sasa imagine ni mkono umekaza au kutenguka unaanzaje ogelea
Mungu aniepushia mja wake vile sina nguvu tenaUtajua ikikutokea, ni kama ambavyo hatufundishwi kupumua.
Amen.Mungu aniepushia mja wake vile sina nguvu tena
HV chura unamfananisha na binadamu chura ameishi majini miaka milion huko so mwili wake umeadapt.. Halafu mzee baba hapa tunaongealea MTU wa kawaida sio diver .. Mtu anayeogelea kw a starehe sio professional swimmerMzee baba wataalamu wa kuogelea wanaweza kuigelea kwa kuflip miguu tu bila mikono na hawazami.
Utamuona kama kasimama ardhini kumbe chini anachanganya miguu kama anaendesha baiskeli.
Mfano muangalie chura anavyo flip miguu yake ya nyuma ndani ya maji.
Huyo analeta stori za kijiweni.Nadhani bahari ina mambo ya ajabu kwa macho yetu haya ya kawaida ya nyama huwezi jua. Mi ndo mana huwa muoga wa maji