TANZIA: Producer Joshua Magawa "Pancho Latino" wa B hitz records afariki dunia

HV chura unamfananisha na binadamu chura ameishi majini miaka milion huko so mwili wake umeadapt.. Halafu mzee baba hapa tunaongealea MTU wa kawaida sio diver .. Mtu anayeogelea kw a starehe sio professional swimmer
Mzee baba mimi mwenyewe muogeleaji wa kawaida na nimeona raia kibao wa kawaida wanaogelea kwa hiyo style.

Mimi nikejifunza kiasi kabla sijaweza umbali mrefu kwa hiyo staili nikaacha kuogelea miaka kadhaa sasa.

Hapa watu wanasema ukishikwa na msuli lazima uzame, mimi ningekuwa nishakufa zamani 20yrs ago.
Ukibanwa mguu mmoja unaogelea upande mmoja kwa kutumua mguu mmoja na mikono.
 
Acha ufara meku[emoji23][emoji23][emoji848][emoji848] ya dish yakiingia puan naic kufa Bahar unatuliaje yaan ukisubr kifo
Hahahah huyu chalii analeta story za kiduanze, we unatuliaje katika maji ya bahari!
 
R.I.P one of the best producers waliowahi kuwika kwenye bongofleva
 
kweli kabisa..kuogelea sio lazima miguu na mikono...kama ni mjuzi hata mikono tu inatosha....kuna mashindano ya Olimpiki ya walemavu... Jamaa wanaogelea kwa kasi na miguu hawana..wanatumia mikono tu.
 
Alitengeneza ngoma inaitwa "Bye bye" ya Joh makini. Jamaa kichwa sana huyu.
R.I.P
 
Pole aseeehh
 
Kuna siku nakula kitimoto kwa Alfonso coco pale ,mdada mmoja namwambia hao wahuni tu km unashida ya kuogelea nenda msasani cine au mbalamwezi akaleta nyodo, akaenda nao kurudi kanuna huyo hatari ,nikajua huyu km hajapigwa midole kala dushee
[emoji39] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji39] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Vijana wanakufa mabatani kama nzi ndani ya Glasi ya Bia" Fid Q



R.I.P pancho Latino. Nitamis ile "Hupaaaaaaa panchoo latinooooooooooooooooooooooo"
 
Dah pancho latino R.I.P ninja
.
Hawa jamaa sijui wapo kwenye hali gani
1. Shetta
2.hammy B-mmiliki wa studio
3.Ambwene yesaya
4. Mwana FA
5.nimekasahu Jina kadogo kamoja hivi kame graduate tumaini
Pancho pancho pancho mungu akufanyie wepesi aisse
M-rap
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…