hahaaa!! Wewee!!Mimi huyu ntakukumbatiaa ujute eti !!Ntakupa ofa ya kwenda huko,unapandia pale open beach jirani na jangwani sea breeze yani viboti vimechoka utafikiria magari ya budege yale ya kubeba taka
Mkuu umeandika kwa hisia kali sana😀😀😀😀😀😀😀 pole mkuu.Mimi mwanzo nilikua najiona ni kama samaki maana tangu kid yani kwenye maji nateleza tu lakini kumamake kule Mbudya palinistaafisha majini na wala sitaki kukumbuka Majihayahitaji ujuaji nawaambia.,
Sawa umeshinda,alikuwa hajui kuogelea,wewe mkweli mkuuAcha uongo..ukijua kuogelea umejua tu...hakuna cha mto wala bahari
Aseehahaaa!! Wewee!!Mimi huyu ntakukumbatiaa ujute eti !!
eheheh maji bhana sioMkuu umeandika kwa hisia kali sana😀😀😀😀😀😀😀 pole mkuu.
Kuna watu wanachukulia maji simpo sanaeheheh maji bhana sio
Hakuwa anaogelea, chombo walichokuwa wakisafiria kilipata hitilafu kikaanza kuzama.Huyo Ben Pol alikuwa analazimisha tu kuogelea, Mgogo na uogeleaji wapi na wapi......watamwachia nani kuomba mijini?
Sio bahari tuu asee nakumbuka mwaka 2011 nilimsindikiza mshkaji mmoja raiya wa netherland mwanza kesho yake tukaenda fukwe za ziwa victoria nikiwa nishaonja pombe nkaenda kuogelea nilipigwa na wimbi likanipack kwenye kina kirefu nikahisi nko kuzimu nikapambana nkatoka cha kwanza nilichukua nguo nkaenda kuvalia counter,pombe yote iliisha
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Pole mbaba kwa yaliyokukuta, vipi siku hzi bado unaendaenda huko beach?
Kabisaa yaani Mimi ni muogaaa...hata wewe...ntakumbatia balaaaAsee
Ilikuaje mkuu
Mkuu, unapiga kazi hapa dom bado?, kama ndivyo basi tuwasiliane huenda siku za baadaye tukapiga kazi.nimeambiwa eti alikuwa amelewa??.. Siwezi kumsahau huyu jamaa kwa aliyonifanyia...
Ntakupa ofa ya kwenda huko,unapandia pale open beach jirani na jangwani sea breeze yani viboti vimechoka utafikiria magari ya budege yale ya kubeba taka
bado nipo dom mkuu napiga kazi..Mkuu, unapiga kazi hapa dom bado?, kama ndivyo basi tuwasiliane huenda siku za baadaye tukapiga kazi.
Poapoa mzee baba, nakucheki pm tubonge zaidi.bado nipo dom mkuu napiga kazi..
pw pw mzeebaba..Poapoa mzee baba, nakucheki pm tubonge zaidi.