Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Naona clip ,ya video kabebwaKama ni muogeleaji basi atakuwa alifika kwenye mkondo wa maji na maji yakamsomba.....bahari Ina mengi sana....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona clip ,ya video kabebwaKama ni muogeleaji basi atakuwa alifika kwenye mkondo wa maji na maji yakamsomba.....bahari Ina mengi sana....
Nimeogopa hata kupaenda mkweHahaaa....anza kusoma matangazo sasa
Iko hivyoHeheheheee.. Kwanini sasa??
Unaweza kuiweka hapa..!!?Naona clip ,ya video kabebwa
Acheni kuogelea huku mmelewa maji hayana utani, maana kwenye clip nimeona wenzie wameshikilia vyupa vya bia.Mbudya sitokuja kwenda, acha niwe mshamba.
Usiku Mimi hunipeleki pia naogopa..hata kukaribia..Mi napenda sema mchana usiku naogopa. Nilishakua na kitu cha kwamba bahari sio rafiki ikifika magharibi. Hata usiku nikiwa eneo LA bahari nikitaka kugusa Maji naomba MTU anisindikize
Nami nimeona hivyo ,halafu hawana msaada wamewaachia wavuviAcheni kuogelea huku mmelewa maji hayana utani, maana kwenye clip nimeona wenzie wameshikilia vyupa vya bia.
Hamna raha kuogelea Kama ukilewa Sasa. Sema sio baharini. Bahari haizoelekiAcheni kuogelea huku mmelewa maji hayana utani, maana kwenye clip nimeona wenzie wameshikilia vyupa vya bia.
Maana hasa watu maarufu wanapenda kwenda huko acha sisi tubaki coco beach 🏝 yetu.ya ngoswe tumwachie ngoswe.Ibiza yetu ni bongoyo mkuu.
Unapokuwa umeshuka kwenye Boti juu mkono wako wa kuliaa kuna bango kubwaa ndio lina sheria na tahadhari zote za kuchukua uwapo pale kisiwani.Kumbe?? Hata Mimi sijawahi liona hilo bango Haki ya Mungu.
Mwezi wa 8 tulimzika mkaka anaitwa Dixon na alikua mwalimu wa kuogelea.Ila Pancho Mbudya alikua anaenda Sana. Yeye na Hermy michezo ya Maji wanaipenda Sana. Siku yake ilifika tu
Tahadhari kabla ya hatari!!Mimi hivyoo visiwa naviogopa kuvuka maji tuuu!!!kigamboni penyewee...pananishinda napanda daladala Mara chache sana napanda kivukoNimeogopa hata kupaenda mkwe
Haaa!!kumbe..!!!Km mt anataka kukuokoa na wewe hujui kuogelea unaleta mapepe nakubugisha kwanza vikombe ulegee ndio anakuokoa
Halafu hamna hata cha maana sema kunatamanisha Fulani kulewa na kujig jig. Wengi wanaoendaga Siku za kazi wanaendaga na mbogaMaana hasa watu maarufu wanapenda kwenda huko acha sisi tubaki coco beach 🏝 yetu.ya ngoswe tumwachie ngoswe.
Nimesema hapo juu kuwa hata km unajua kuogelea km unaye muokoa ana mapepe mnakufa woteMwezi wa 8 tulimzika mkaka anaitwa Dixon na alikua mwalimu wa kuogelea.
Alienda kumuokoa demu wake akiwa anazama matokeo yake wakafa wote, niliiogopa Mbudya.
Pale pana mkondo mkubwa snaa wa bahari....hata mimi huwa nashangaa kwanini watu wanaachwa wazagae huru....Unapokuwa umeshuka kwenye Boti juu mkono wako wa kuliaa kuna bango kubwaa ndio lina sheria na tahadhari zote za kuchukua uwapo pale kisiwani.
Pole pole basi eheee si kila mtu mleviAcheni kuogelea huku mmelewa maji hayana utani, maana kwenye clip nimeona wenzie wameshikilia vyupa vya bia.